Droo ya UEFA Champions Ligi; R.Madrid Vs Juventus, Liverpool apewa Man. City! UEFA Europa Ligi; Arsenal Vs CSKA Moskva..

wewe jamaa bangi sio Chakula ujue """ Daaahhh
 
yaan tena ushukuru angalau Epl itapata team moja nusu fainali..


maana wangekutanishwa na team nyingine huenda wangetoka woote
Hakuna wa kumfunga man city pale..na liver angebabaishwa labda na bayern tu..hao mbuzi wengine wote liver akiyakamia maji hawatoki
 
Real Madrid mabingwa wa kihistoria wakitoka yoyote anaweza kuchukua kombe
 
Nusu fainali ileeeee...halla Madrid,lkn UEFA sio poa yani watu tumetoka kuwadhalilisha fainali hapo juzi kati tu leo mnatupa tena!!!walivyo wabishi hao watafia uwanjani safari hii
Real Madrid safari yenu imeishia kwa Juventus kwenye hatua hii ya mtoano kihistoria Madrid kaondolewa Mara kibao Mara ya mwisho Madrid aliondolewa nusu fainali na Juve ikiwa na wakina Morata,Pogba,Tevez n.k na fainali juve akacheza na Barcelona
 
Real Madrid safari yenu imeishia kwa Juventus kwenye hatua hii ya mtoano kihistoria Madrid kaondolewa Mara kibao Mara ya mwisho Madrid aliondolewa nusu fainali na Juve ikiwa na wakina Morata,Pogba,Tevez n.k na fainali juve akacheza na Barcelona
Team unayoizungumzia imechukua kombe hili mara mbili na robo kuliko Barcelona Mara tatu na nusu kuliko juve hawa walianzishwa kuchukua UEFA
 
Juventus inapingwa kwao na ugenini.
Real Madrid safari yenu imeishia kwa Juventus kwenye hatua hii ya mtoano kihistoria Madrid kaondolewa Mara kibao Mara ya mwisho Madrid aliondolewa nusu fainali na Juve ikiwa na wakina Morata,Pogba,Tevez n.k na fainali juve akacheza na Barcelona
 
Real Madrid safari yenu imeishia kwa Juventus kwenye hatua hii ya mtoano kihistoria Madrid kaondolewa Mara kibao Mara ya mwisho Madrid aliondolewa nusu fainali na Juve ikiwa na wakina Morata,Pogba,Tevez n.k na fainali juve akacheza na Barcelona
Lkn Madrid hii imekuwa siku zote ya kuvunjika miiko...tunamto kwenye knockout safari hii
 
Kwao waliwapiga ngapi?
mliwafunga 4-3 na mlikuwa mnapumulia mashine, tuwe wakweli, filimbi ya refa iliwaponya! So kwa away goals nani angesonga??

Mpaka Hapa Umethibitisha Udhaifu Wako Wa Uelewa na Masuala Ya Soccer!

Eti "Filimbi Ya Refa iliwaponya"

Pacha Wa Kauli Hizi ni:-

1) Kapa sio Kipa ilikuwa ni Goli lile...

2) Salama Yake Beki kaucheza, Lakini lilikuwa Goli lile...

3) Pale ingelikuwa pana dakika 2 tu basi wangelirudisha Goli...


Sasa hizo sio Kauli za Kimpira wala hazina Nafasi yoyote Katika Mpira.

Mbona Hamsemi kuwa "Zingepunguzwa Dakika 10 tu pale" Lakini Munakazania Kuwa Zingeongezwa dakika tu..


Kwahiyo Basi Refa angepunguza Dakika 10 tu basi Matokeo Yangesomeka 4 - 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…