wewe timu bora unaipima kwa kuangalia possession? kipimo cha zamani sana hicho , kama ume observe siku hizi possession sio kitu
na Liverpool walicheza game mbili na Dortmund sasa unapoaema alibahatisha na wakati kule kwao alimbana na draw ya 1-1?
mimi sisemi Liverpool atachukua au la kwa kuwa matokeo ya mpira yanategemeana na vitu vingi
ninachosema Liverpool amestahili kumtoa Dortmund
Kuna watu wana wivu kupindukia,sasa liverpool akichukua ndoo ile itakuwa nini?
Haya kaingia final kwa kumfunga Villareal bao 3-1. Tumekubali Uefa liende spain,tena madrid. Lakini Europa,nadhani england ndio kituo.
YNWA