Maundumula JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 7,553 Reaction score 3,081 Jan 13, 2012 #1 Habari zenu wakubwa, Jamani mimi mwenzenu katika hizi siku kama 3 hivi nimepata tatizo la ukavu kwenye lips na sometimes nahisi kuna burning feeling. Naomba nisaidieni inasababishwa na nini najaribu kunywa maji lakini wapi. Please assist
Habari zenu wakubwa, Jamani mimi mwenzenu katika hizi siku kama 3 hivi nimepata tatizo la ukavu kwenye lips na sometimes nahisi kuna burning feeling. Naomba nisaidieni inasababishwa na nini najaribu kunywa maji lakini wapi. Please assist
tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 Jan 13, 2012 #2 Inawezekana hunywi maji ya kutosha.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Jan 13, 2012 #3 Ulizama chumvini?
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Jan 13, 2012 #4 Labda umepata infection au allergy reaction. Fikiria vitu/kitu kipya ambacho umekula, jipaka mdomoni lately. . .
Labda umepata infection au allergy reaction. Fikiria vitu/kitu kipya ambacho umekula, jipaka mdomoni lately. . .
Mamzalendo JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 1,670 Reaction score 558 Jan 13, 2012 #5 Yaani wewe ni siku tatu 2 mimi ni miaka na miaka haisikii mafuta wala anykind of lip balm sa hv napaka vitamin e ndio angalao au kama una siagi ila vitamin e kumeza au kupaka is best,
Yaani wewe ni siku tatu 2 mimi ni miaka na miaka haisikii mafuta wala anykind of lip balm sa hv napaka vitamin e ndio angalao au kama una siagi ila vitamin e kumeza au kupaka is best,
U UNIQUE Senior Member Joined Mar 31, 2011 Posts 180 Reaction score 21 Jan 14, 2012 #6 Taitizo hata mkipewa ushauri hamfatilii. Andika no yako ya simu uelekezwe. Ukikaa imya shauri lako
God bell JF-Expert Member Joined May 13, 2011 Posts 590 Reaction score 210 Jan 14, 2012 #7 Kapime typhoid.
Michelle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,628 Reaction score 3,535 Jan 14, 2012 #8 UNIQUE said: Taitizo hata mkipewa ushauri hamfatilii. Andika no yako ya simu uelekezwe. Ukikaa imya shauri lako Click to expand... Umejueaje hawafuatilii ushauri mkuu?? Huwezi muelekeza hapa kwa faida ya wote??
UNIQUE said: Taitizo hata mkipewa ushauri hamfatilii. Andika no yako ya simu uelekezwe. Ukikaa imya shauri lako Click to expand... Umejueaje hawafuatilii ushauri mkuu?? Huwezi muelekeza hapa kwa faida ya wote??
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Jan 14, 2012 #9 typhoid
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Jan 14, 2012 #10 ukosefu wa vitamini, kamuone dk.
Maundumula JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 7,553 Reaction score 3,081 Jan 15, 2012 Thread starter #11 Unique, tuambie basi ni nini naona unalaumu kwanza badala ya kutoa msaada
Singasinga JF-Expert Member Joined Aug 27, 2011 Posts 2,711 Reaction score 3,279 Jan 16, 2012 #12 paka lipshine
Singasinga JF-Expert Member Joined Aug 27, 2011 Posts 2,711 Reaction score 3,279 Jan 16, 2012 #13 jonal rashidi said: paka lipshine Click to expand... we jonal we
Singasinga JF-Expert Member Joined Aug 27, 2011 Posts 2,711 Reaction score 3,279 Jan 16, 2012 #14 Nyani Ngabu said: Ulizama chumvini? Click to expand... du! we mkali
feis buku JF-Expert Member Joined Aug 29, 2011 Posts 2,341 Reaction score 677 Jan 16, 2012 #15 Nyani Ngabu said: Ulizama chumvini? Click to expand... jamani jamani..!!!