Jumaaofficial
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 250
- 209
Naona umekusudia kuharibu huu uzi, hoja yako haina mashiko.“Wabongo tuache kuingiza iphones kutoka nje” hayo maneno yameandikwa na nani? Kama unatangaza biashara tangaza vizuri utapata wateja.
Naona umekusudia kuharibu huu uzi, hoja yako haina mashiko.
emekushika pabaya kwenye i phone.
Hizi nyumba za USA tunazijua unafikiri unaweza kujenga Maramba mawili hio. Watakata hizo mbao mkuu. Huku wanakata grill au wanatoboa hadi ukuta wa tofali hizo mbao si watakufanya mtaji?Nyumba ya drywall tupu inajengwa hivi:
Halafu wanamalizia kwa kuweka siding. Hii nyumba tofali zipo kwenye msingi tu.
Hizi nyumba za USA tunazijua unafikiri unaweza kujenga Maramba mawili hio. Watakata hizo mbao mkuu. Huku wanakata grill au wanatoboa hadi ukuta wa tofali hizo mbao si watakufanya mtaji?
Wewe unafikiria nini? Wanaotoboa no vibaka. Unafikiri USA kuna vibaka wa kuja kuiba flatscreen au home theatre? Unafikiri kwanini bongo tuna grills madirishani na milangono wakati USA kuna milango tupu tena mingi ya plastiko na vioo?Pima faida na hasara yake. Halafu jiulize USA na Tanzania ni wapi wana vifaa vizuri vya kutobolea ukuta.
Ni nzuri lakini hakuna siri hapo nyumbani. Sauti chumbani inasikika hadi barazani....sio sound proof......jipangeni mnao taka kutumia hiziDrywall ndio habari ya dunia kwa sasa hasa katika kuta za ndani. Drywall sio mbao ni madini ya gypsumrrr yaliyofungwa ndani ya karatasi nzito.
Drywall ina faida zifuatazo:
- Ina unafuu wa bei.
- Inadhibiti hali ya hewa ndani ya nyumba.
- Ujenzi wake ni rahisi na wa haraka.
- Ni ngumu kuwaka moto. Karatasi la nje litaungua lakini madini ya gypsum yanaungua kwa moto wa joto kali sana.
-Muonekano wake ni mzuri na wa kupendeza.
-Inarahisisa kupitisha mabomba na waya za umeme
- Kuna zisizopitisha maji (waterproof)
-Haina uzito mkubwa sana hivyo haihitaji msingi na zege la nyumba nzito.
-Ni rahisi kuirepea, au hata kuitoa na kuweka nyingine.
Inaweza kufanywa iwe na uwezo wa kutopitisha sauti(soundproof)
Wewe unafikiria nini? Wanaotoboa no vibaka. Unafikiri USA kuna vibaka wa kuja kuiba flatscreen au home theatre? Unafikiri kwanini bongo tuna grills madirishani na milangono wakati USA kuna milango tupu tena mingi ya plastiko na vioo?
Ni nzuri lakini hakuna siri hapo nyumbani. Sauti chumbani inasikika hadi barazani....sio sound proof......jipangeni mnao taka kutumia hizi
Huwezi kulinganisha tishio la vibaka US na Tz ndio maana mpaka leo US gari zinalala nje na nyumba hazina grills. Unafikiri tunapenda kuwrka grills hapa bongo.Inategemea na eneo unaloishi. Hii ni Marekani.
Tatizo ni durability ukizingatia mazingira ya fujo fujo ndani ya familia kitz..
Unajuanhizi ndoa za kibongo ugomvi ni kawaida sana, mke na mume wakisukumana kidogo tu litachanika lote hilo, vipi paa likivuja na kulilainisha kama boksi..Matengenezo yake ni rahisi unaweza kuziba au kuweka kipande kingine cha drywall mwenyewe bila ya kutumia fundi.
Unajuanhizi ndoa za kibongo ugomvi ni kawaida sana, mke na mume wakisukumana kidogo tu litachanika lote hilo, vipi paa likivuja na kulilainisha kama boksi..
Hizo ni insulating materials ili kuhifadhi joto nyakati za summer or winter kunapowashwa aircon au heaters...Hayo makitu ndiyo yanawekwa ndani ya drywall.
Nyumba ya drywall tupu inajengwa hivi:
Halafu wanamalizia kwa kuweka siding. Hii nyumba tofali zipo kwenye msingi tu.
Hizo ni insulating materials ili kuhifadhi joto nyakati za summer or winter kunapowashwa aircon au heaters...
Sasa kwa 'bongo' ukijenga nyumba halafu yakawekwa hayo madude na nyumba isiwe na AC, wakati wa joto unaweza ukatamani kuvua ngozi...
kweli kabisaaa! tena dodoma tu mkuuWabongo tuache kuingiza iphones kutoka nje tuanze kuleta vitu vya aina hii. Tena hii inaweza hata kutengenezwa Tanzania.
WEKA HABARI KAMILI MKUUDrywall ndio habari ya dunia kwa sasa hasa katika kuta za ndani. Drywall sio mbao ni madini ya gypsumrrr yaliyofungwa ndani ya karatasi nzito.
Drywall ina faida zifuatazo:
- Ina unafuu wa bei.
- Inadhibiti hali ya hewa ndani ya nyumba.
- Ujenzi wake ni rahisi na wa haraka.
- Ni ngumu kuwaka moto. Karatasi la nje litaungua lakini madini ya gypsum yanaungua kwa moto wa joto kali sana.
-Muonekano wake ni mzuri na wa kupendeza.
-Inarahisisa kupitisha mabomba na waya za umeme
- Kuna zisizopitisha maji (waterproof)
-Haina uzito mkubwa sana hivyo haihitaji msingi na zege la nyumba nzito.
-Ni rahisi kuirepea, au hata kuitoa na kuweka nyingine.
Inaweza kufanywa iwe na uwezo wa kutopitisha sauti(soundproof)