Elections 2015 DSM CCM wana madiwani wangapi na UKAWA wangapi?

Jiji la Mbeya lina kata 36....
Chadema wana kata 26,Ccm wana kata 9 kata moja haikufanya uchaguzi

Yes Uyole haikufanya uchaguzi na obvious itaenda CDM. CCM waachie usukumani huko.
 

Dah mkuu inauma mwanza kukosekana kuwemo katika majiji au halmashauri zitakazo kuwa chini ya ukawa
 
Dar karibia halmashaur zote zitaendeshwa na ukawa
Mikoani huko wamejifanya wameichagua ccm tuwaache waendelee kula vumbi huku rushwa ikizid kuongezeka
Ubungo pekee ndio chadema.... Tmk CCM, Ilala CCM, Kinondoni CCM na Kigamboni CCM.... Meya wa Jiji yupo kwa hisani ya CCM tu [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…