Hajapigwa iyo bei ilikua 2013 ata mm nilinunua kwa bei iyo kabla hawaanza ofa baada yakuona wateja wanapunguaUlipigwa na wajanja wa mjini,bei yao ni 79,000
Kwa nini mnachaji watu hiyo huduma ya kurudisha nyuma kipindi na kurekodi bila kuwapa maelezo hayo kabla ya kununua si ni uhuni huo?hv vyote vnatumia satellite dish na internet ,tofauti yke bei na ma2miz 2
explora ina uweze wa kurekod kipindi ukitakacho na kurudisha nyuma kipind kilicho pita
Zap (hd) hkina uwezo huo mpak utumie flash
Ni vyema muwe mnawaweka watu wazi wakati wa kuuza hizo explora.Explora only 185,000/=
Explora+Smart LNB 270,000/=
Explora (full set) 321,000/=
0652170490
ulilipia kiac gan na pia angalia km signal ipo sawMbona dstv yangu inaonesha chanel cha che.. Hasa za mpira tu.zile action 109_120 hazioneshi.wala ile ya wanyama haipo
Kama kuludisha nyuma unalipia Tsh ngapi?Ni vyema muwe mnawaweka watu wazi wakati wa kuuza hizo explora.
Kama wewe ulivyofanya hapa unatoa tu bei ya kununua hiyo explora halafu huwaelezi watu kuwa huko kurekodi na kurudisha nyuma kipindi unalipia...
Hii inashangaza kwa kweli ni sawa na kumuuzia mtu remote alafu kuibonyeza ili kubadilisha channel mtu alipie tena.
DSTV huo ni wizi...vyema mkawaweka wazi watu ili waamue kabla ya kununua
Sasa kama hujalipia chanel zitafungukaje?,au utarecord hewa?,mambo mengine yako stright fowardSwali langu kwa nini mpaka mtu alipie ndo aweze kurekodi?
Yani kifurushi cha mwezi ninunue alafu na uduma ya kurekodi eti nilipie nyie watu hampo serious
[emoji1787]Sasa kama hujalipia chanel zitafungukaje?,au utarecord hewa?,mambo mengine yako stright foward