DSTV fanyeni jitihada kuongeza FTA channels za Tanzania

DSTV fanyeni jitihada kuongeza FTA channels za Tanzania

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Uongozi wa DSTV fanyeni jitihada muongeze channels za Tanzania, badala ya kuturundikia channels za Kenya tu
 
Uongoz wa DSTV fanyeni jitihada muongeze channels za TZ , badala ya kutulundikia channels za Kenya tu
Wakulaumiwa ni Dr. Mwakyembe, DSTV zamani walikuwa na local channel za bure zaidi ya TBC, lakini akatokea kichaa mmoja mwenye PhD Mwakyembe akapiga marufuku hizo channel ziondolewe.

Walichofanya DSTV ni kutii mamlaka na kuziondoa, ila wao kwenye liking'amuzi lao la Startimes wamezijaza kibao free channel.

Selfishness.
 
Wakulaumiwa ni Dr Mwakyembe, Dstv zamani walikuwa na local channel za bure zaidi ya Tbc, lakini akatokea kichaa mmoja mwenye PhD Mwakyembe akapiga marufuku hizo channel ziondolewe.

Walichofanya Dstv ni kutii mamlaka na kuziondowa, ila wao kwenye liking'amuzi lao la Startimes wamezijaza kibao free channel.

Selfishness.
Ndio wafanye mpango tena warejeshe

Maana kila siku DSTV wanaongeza TV za Kenya tu yaani nyingine mpaka za ki lugha chao
 
Wakulaumiwa ni Dr Mwakyembe, Dstv zamani walikuwa na local channel za bure zaidi ya Tbc, lakini akatokea kichaa mmoja mwenye PhD Mwakyembe akapiga marufuku hizo channel ziondolewe.

Walichofanya Dstv ni kutii mamlaka na kuziondowa, ila wao kwenye liking'amuzi lao la Startimes wamezijaza kibao free channel.

Selfishness.

Halafu hilo listar times hata hamna mwenye time na hilo liking'amuzi!
 
Halafu hilo listar times hata hamna mwenye time na hilo liking'amuzi!
Mimi ndio natumia kuangalia hizo local channels bila malipo, subscribe ya airtime nalipia kwenye decoder ya Dstv.

Sometimes ukiishi nchi ya wajinga nenda nao wanavyotaka, utapoteza energy yako bure tu.
 
Halafu hilo listar times hata hamna mwenye time na hilo liking'amuzi!
Wakati ndio wana wateja wengi zaidi ya 1.8 million wakifuatiwa na azam wenye laki nane na nusu huku dstv kitu kama laki moja na themanini.
 
Shida sio DSTV, shida ni sheria zinazotungwa na CCM, DSTV pamoja na azam wana kibali cha kuonyesha chanel za kulipia tu, kama sikosei walipigwa faini kwa kuonyesha chanel za bure.

Hawa startimes wao kibali chao kinawaruhusu kuonyesha free chanel.
 
Uongozi wa DSTV fanyeni jitihada muongeze channels za Tanzania, badala ya kuturundikia channels za Kenya tu
Kwani hizo za Kenya ni za bure? Kama kurundika mbona kuna channels za TBS, Safari, Wasafi. ETV.
 
Wakulaumiwa ni Dr. Mwakyembe, DSTV zamani walikuwa na local channel za bure zaidi ya TBC, lakini akatokea kichaa mmoja mwenye PhD Mwakyembe akapiga marufuku hizo channel ziondolewe.

Walichofanya DSTV ni kutii mamlaka na kuziondoa, ila wao kwenye liking'amuzi lao la Startimes wamezijaza kibao free channel.

Selfishness.
Mwakyembe alitumwa na magu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom