DSTV kuonyesha fainali za AYC

jerrytz

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
5,975
Reaction score
4,266
Mechi za fainali za Vijana Africa chini ya miaka 19 zitaonyeshwa mubashara na DSTV.
Mechi hizo zitaonyeshwa kupitia Channel 209, channel 233 hii ina maana kuwa sasa tutaona Mechi za Serengeti Boys live.
 
Mechi za fainali za Vijana Africa chini ya miaka 19 zitaonyeshwa mubashara na DSTV.
Mechi hizo zitaonyeshwa kupitia Channel 209, channel 233 hii ina maana kuwa sasa tutaona Mechi za Serengeti Boys live.
Umesahau kutuambia ni Kifurushi cha Tshs19,975.
 
Hivi wa kwetu ni U17 ama U19! 19 Si ngorongoro heros jamani!? Ila walioko Gabon ni U17 kama sijakosea ambao ni Serengeti Boys.
 
vipi kuhusu sisi watumiaji wa star times? tutaona kwa channel gani?
 
Hivi hiyo ZBC ni ya zanzibar?........where is TBC ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…