maelezo yote nimeweka hapo soma vizuriTupe link mkuu ya iyo totalsportek mkuu
Mi naona wengi wanaokuja na hizi kauli za "mi huku"ni waongo waongo maana ukiomba maelezo inakuwa kama jamaa hapo juuNaombeni mtoe maelezo ambaya yanaeleweka, mtu kauliza tunaipataje kila mtu online
Tununue device gani zitakazoweka kustream kupata hizo channel ili kuondokana na hili dubwana la dstv
Mi naona wengi wanaokuja na hizi kauli za "mi huku"ni waongo waongo maana ukiomba maelezo inakuwa kama jamaa hapo juu
unatakiwa kuwa na android tv box kiaha upate premium iptv accountMi naona wengi wanaokuja na hizi kauli za "mi huku"ni waongo waongo maana ukiomba maelezo inakuwa kama jamaa hapo juu
Naombeni mtoe maelezo ambaya yanaeleweka, mtu kauliza tunaipataje kila mtu online
Tununue device gani zitakazoweka kustream kupata hizo channel ili kuondokana na hili dubwana la dstv
Hii ndio mara nyingi natumia kwa mechi za usiku sana mobdro huwa inagomagoma sanaMkuu. Njia nyingine rahisi...kama huitaji kushusha app yoyote...unaweza ukaingia youtube na ukaandika kama ni "BARCA AND CITY" itakuijia video nyingi za nyuma...unachotakiwa unaenda mwisho utakutana na LINK utabofya and then itakuijia match live...
Ngoja nijaribu na hiiunatakiwa kuwa na android tv box kiaha upate premium iptv account
nazojua mimi ni hizi mbili kuna anewish iptv ina chanell kibao za sport lakini hakuna ss pia kuna xtv hawa wanazo ss za makaburu na zinginezo
streaming ya bure lazima iwe hivyo ila premium account iko vizuri sana na sasa kumbuka tuna 4g mimi huwa natumia voda ni mpaka nikwambie kwmba hiyo ni streaming huwezi juamtu anataka kizuri ila hataki lipia bei nzuri...
streaming tz hupati picha nzuri ya mpira na lazima igande gande
Mabibi na mabwana kwa mara nyingine tena kampuni ya multichoice inayomiliki king'amuzi cha dstv kupitia chaneli zake za supersport imefanikiwa kushinda tena tenda ya kuonyesha michuano ya UEFA kwa ukanda huu wa kusini mwa jangwa la sahara kwa misinu mitatu kuanzia msimu wa 2018/2019. Hivyo watanzania wenye hali ya chini kiuchumi tuendelee kupambana na hali zetu.
Tulitegemea azamtv wangekuwa mwokozi wetu lakini mkaburu hawataki
kukubali kuachia vyuma
Tupambane na hali zetu.
DSTV TANZANIA.
tena dstv wanapatikana hata kwa ef19 tuunapenda vizuri gharamia
Kwahiyo twende kubanana na kupigiwa kelele vivanda umiza ?Huwezi linganisha tv na streaming labda kwa wale jamaa ambao hawajawahi jaribu zote.
Channel zote za mpira ?tena dstv wanapatikana hata kwa ef19 tu
Kizuri gharama, jiongezeChannel zote za mpira ?
Shida yetu ni mpira tu
Tv box napataje kakaunatakiwa kuwa na android tv box kiaha upate premium iptv account
nazojua mimi ni hizi mbili kuna anewish iptv ina chanell kibao za sport lakini hakuna ss pia kuna xtv hawa wanazo ss za makaburu na zinginezo