squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Kwa kweli kifurushi hiki hakina chaneli za maana kwangu. Kwangu chanel za maana ni skynews, cnn, skysports, bbc, aljezeera, discovery channel zote, nat geo, cartoons chanel, music chanels, espn, supersports tv hasa S3, channel za dini hasa inayoonyeshaga kanisa la Joel Osteen etc.Channel za maana ndio zipi?unaona SS4,5,9,10 nadhani pia movie zipo Mnet Movies,Telemundo,EVA+ nk
Hapa unapatapaka pvr.Sasa kwani ni lazima ulipie hicho cha premium ndio uone EPL?
Brand reputation kwako inatosha safii mkuuWatu wakipita na kuliona dishi la dstv juu ya paa hata kama nimeshindwa lipia kifurushi, inatosha. Kuwa na dstv Inaongeza heshima mtaani, vifurushi shauri yao.
Jiunge kifurushi cha Compact bei ni Tsh.69,000Kwa kweli kifurushi hiki hakina chaneli za maana kwangu. Kwangu chanel za maana ni skynews, cnn, skysports, bbc, aljezeera, discovery channel zote, nat geo, cartoons chanel, music chanels, espn, supersports tv hasa S3, channel za dini hasa inayoonyeshaga kanisa la Joel Osteen etc.
kwese ndio nani mkuu?Kwese anakuja kumfuta dstv Africa,wait and see...
Kwa maoni yangu mshindani mkubwa wa Dstv ni Internet mfano siku hizi vijana wengi wana stream match za mpira nk. Wapenzi wa movies na series wanadownlaod kama unakipindi unakipenda una download free tu. Mfano TTCL kwa usiku unapata GB 10 kwa Tsh. 1000 so why ulipie full package ya dstv wakati unaweza pata kila kitu cheap na faster.
Globalization inataka uwe mjanja sana kutoboa, naagalia ghalama wanazosema wachangiaji humu wakati mimi naangalia ligi zote ikiwemo UEFA, tennis, mbio za magari, movie, History channel, discovery, animal planet, CNN, Sky news,BBC, Disney junior, Mtv music,.....local zote, kwa chini ya 25,000/= (tahadhali hakikisha wewe sio mpangaji maana unahitaji dish 2 za ft 8 na 6 sasa nyumba ya watu utaigeuza studio za ITV!!!)
nunua dekoda za kichina! Google, ongea na mafundi dish, changanya na zako!Unafanyaje hii mkuu?
naomba nicheke mkuu, teh teh teh, unampenda lakini anakutesaKwa ufupi tu siku dstv akipata leseni ya kuonesha VPL huo ndio utakua mwisho wa azam nakupenda dstv japo unanitesa
kifurushi cha chini cha dstv ni tsh 19000 sema kwa wale wa mipira hapa hamna chaneli nyingi za mipiraAcha uwongo, vifurushi vya epl siyo 80000+ kama unavyosema, labda ulihadithiwa na jirani yako ambae naye alihadithiwa....huna dstv!