CaramelButterfly
New Member
- Mar 22, 2023
- 1
- 11
Oyah! Hii naipataje, naweza ona epl ?Hawajui kwamba tumeisha wakimbia , tupo CANAL+?
EPL kama yote. Kuna uzi humu utapata contactsOyah! Hii naipataje, naweza ona epl ?
EPL kama yote. Kuna uzi humu utapata contacts
Hii canal ikoje mkuu ofa zake, tukimbie woteHawajui kwamba tumeisha wakimbia , tupo CANAL+?
Hii canal ikoje mkuu ofa zake, tukimbie wote
45000 unapata EPL, La liga, SeieA, Ligue 1 na Bundesliga, HD movies etc. Hawa mbuzi wa Dstv mpaka ulipe 110 000.Bei zake zinasimamaje kwa package za kila mwezi?
Ni connect nao mkuu45
45000 unapata EPL, La liga, SeieA, Ligue 1 na Bundesliga, HD movies etc. Hawa mbuzi wa Dstv mpaka ulipe 110 000.
Bado mnapigwa aseeee45
45000 unapata EPL, La liga, SeieA, Ligue 1 na Bundesliga, HD movies etc. Hawa mbuzi wa Dstv mpaka ulipe 110 000.
Canal ina nini cha ziada tofauti na dstv?Hawajui kwamba tumeisha wakimbia , tupo CANAL+?
Twambie hilo chimbo liko wape mkuu?Bado mnapigwa aseeee
Kuna chimbo la bei nafuu zaidi, kwa elfu 15 kwa mwezi unatazama EPL, Uefa, Europa, Laliga, Serie A, Bundesliga, Carabao, Caf CL, FA Cup nk
Aahh [emoji23] kwa 15k!!?? Hii chai sasa.Bado mnapigwa aseeee
Kuna chimbo la bei nafuu zaidi, kwa elfu 15 kwa mwezi unatazama EPL, Uefa, Europa, Laliga, Serie A, Bundesliga, Carabao, Caf CL, FA Cup nk
Kweli, na wanakera sana. Kama kifurushi kimeisha si nitaamua lini nilipie tena.Mimi ni miongoni wa wakereketwa kutokana na hizi simu za marketing za DSTV. Wamekuja na njia mpya ya kupigia watu simu kwa namba tofauti tofauti binafsi. Kama mtu hajalipia kifurishi kwa muda mrefu lazima ana sababu binafsi na kama ana shida pia atawatafuta kwa namba zenu za mawasiliano ya kiofisi. Tumechoka kupigiwa simu hizi. Tafuteni njia nyingine ambayo haina usumbufu.
Baki na ubishi wako mpaka siku upate akili ndio utaacha kuibiwaAahh [emoji23] kwa 15k!!?? Hii chai sasa.
Watu washanidhihaki siwaletei tena muendelee kuumia tuTwambie hilo chimbo liko wape mkuu?