- Source #1
- View Source #1
- Source #2
- View Source #2
Imeripotiwa tozo za Serikali kwenye ving'amuzi itaanza rasmi Septemba 1 kwa DStv kutangaza gharama mpya ya vifurushi.
- Tunachokijua
- DStv wamethibitisha kuwa vifurushi vimepanda kwa ongezeko la kawaida si tozo za Serikali. Taarifa za kupandisha kutokana na Tozo za Serikali ni za kutungwa tu.