SI KWELI DStv wapandisha gharama za vifurushi kwenye king'amuzi kutokana na tozo za Serikali

SI KWELI DStv wapandisha gharama za vifurushi kwenye king'amuzi kutokana na tozo za Serikali

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Source #2
View Source #2
Imeripotiwa tozo za Serikali kwenye ving'amuzi itaanza rasmi Septemba 1 kwa DStv kutangaza gharama mpya ya vifurushi.

DSTV fake.jpg
 
Tunachokijua
DStv wamethibitisha kuwa vifurushi vimepanda kwa ongezeko la kawaida si tozo za Serikali. Taarifa za kupandisha kutokana na Tozo za Serikali ni za kutungwa tu.

1661281746641-png.2332939
Kupanda wanakubali wamepandisha ila sababu ya kupandisha ndo wanakataa kuwa sio sababu ya tozo kumbe ni sababu ya nini!!?? Yaani serkal inaogopwa na wawekezaji hivi je mwananchi wa kawaida inakuwaje sababu ni hiyo hiyo ya kodi na matozo ila hawawezi kusema hapa walikatazwa wagugumie kimya kimya cha mtema kuni tunakipata sisi tuliopandishiwa bei..hatari kuwa raia tanzania yataka moyo
 
Tutakua tunaangalia taarifa ya habar tuu na miziki kuhusu muv tutakod hapa libraly
 
Back
Top Bottom