DSTV yazindua kifurushi cha 17000, nafuu mno

Nyie hamuwajui Mult Choice kwa zao
Hapo hakuna mpira wala nini,mechi nzuri zote hakuna,mtawekewa Timu za ajabu tupu,mechi nzuri zote kwenye SS1- 7 tu.
Wapo Kibiashara zaidi.Hizo Super Sport select hamna lolote
 
Mstahiki Meya hii sio habari waambie na hao hapo pichani.

Kifurushi hiki kipo siku zote na mimi nilinunua ungo wao mwaka jana mwezi Agosti nilikikuta na ndio hasa natumiaga kila mwezi hata sasa. Nashanga mnaposema kinazinduliwa wakati tunatumia kila siku.

Habari ya mujini tunayoingoja toka kwao ni kuonekana kwa ITV kwenye DSTV.... hiyo ndo itakuwa habari sio hii.
 

Mkuu, hiki kifurushi kina channel za News kama BBC, CNN, Fox n.k?
 

Kwahyo azam ataonesha supersport africa nzima au tanzania tu?? sasa hivi dstv si ndo wanaoshikilia show africa nzima??
 
Hakuna jipya hapo. Package ya Access ipo siku nyingi kwa bei hiyo ilikuwa 16.5k nadhani baada ya dola kupanda ndo inakuwa 17.5k. Nadhani hii ni kwa wanataka kujiunga n not wateja wao wa zamani.

Nilishtuka nikafikiri ni kipya kumbe ni Access ,ni wachache ambao wanafahamu kuwa sio kipya.DSTV Tanzania walikuwa wamesinzia sana lakini hii promotion itawaongezea wateja wapya.Kuliko kununua Star Times,Zuku au Azam ni bora ya hii Access/Mambo unapata chanel za TBC,Chanel 10,Star TV,Citizen,KBC,K24 na nyinginezo
 
Ndugu yangu kwani mkuu wa kaya nae si ni msomi yule tena mchumi sasa unataka viongozi gani tena wasomi? naibu waziri wa fedha ni mchumi wa first class digrii ya udsm sasa sijui huyu nae sio msomi?

Wasomi ni wale wanao wanaotumia shule yao kuleta maendeleo katika jamii au watu waowaongoza. Wengine hao ni kujaza mavyeti tu
 

Well said mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…