Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 76
nilikuwa nimebahatisha kuzipata channel 3 za supersport yani
ss2
ss5 na
ssmaxmo
kupitia intelsat 7/10 freq 11594
sr 27500
nilifaidi kama wiki mbili kuangalia baadhi za mechi, nilisafiri kama wiki mbili niliporudi nilikuta signal imeshuka sana na baadhi ya channel zikawa zimepotea zikiwemo zile za ss baada ya kuongeza signal kwa kugusagusa dish nyingi zilionekana lakini zile za SS nikakuta meseji ya SCRAMBLED CHANNEL je kuna uwezekano wa kuwa tena FTA?
ss2
ss5 na
ssmaxmo
kupitia intelsat 7/10 freq 11594
sr 27500
nilifaidi kama wiki mbili kuangalia baadhi za mechi, nilisafiri kama wiki mbili niliporudi nilikuta signal imeshuka sana na baadhi ya channel zikawa zimepotea zikiwemo zile za ss baada ya kuongeza signal kwa kugusagusa dish nyingi zilionekana lakini zile za SS nikakuta meseji ya SCRAMBLED CHANNEL je kuna uwezekano wa kuwa tena FTA?