the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
“Walimu semeni shida zenu na wakati wote msijione duni, oneni namna Serikali inavyoweza kutatua changamoto zenu. Nataka niwakumbushe Watanzania kuwa ninyi ni nguzo ya taifa letu, zoezi hili linamfanya mwalimu mwenyewe kukutana na watoa huduma Serikalini ili kujua nini kitafanyika juu ya changamoto yake,” amesema Dkt. Biteko.
Dkt. Biteko ameyasema hayo mkoani Geita wakati aliposhiriki katika ‘Samia Teacher’s Mobile Clinic - Geita’ inayolenga kusikiliza na kutatua kero za walimu Mkoani Geita.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Dkt. Biteko ameyasema hayo mkoani Geita wakati aliposhiriki katika ‘Samia Teacher’s Mobile Clinic - Geita’ inayolenga kusikiliza na kutatua kero za walimu Mkoani Geita.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024