Paulo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 342
- 68
Mungu amefanya haya Misri ili askari polisi wa Tanzania nao wapate kujifunza. Maandamano yaliyotokea arusha hakupaswa kufa mtu ndugu zangu. Uhai ni wa Mungu na yeye ndo mwenye kuitoa roho ili imrudie. Majeshi ya Misri yalijifunza kupitia pigola kumi kipindi cha Musa ambapo wazaliwa wa kwanza wa kila kiumbe walikufa ndani ya usiku mmoja. Tokea hapo wanaheshimu damu! Hawaimwagi tena!
Hizi picha ni kutoka kwenye maandamano yanayoendelea huko Misri
source http://totallycoolpix.com/2011/01/the-egypt-protests-part-2/
Hapa wanaruhusu waandamanaji wapande juu ya vifaru vyao.
Hapa ndo wamenikosha kabisa
Hizi picha ni kutoka kwenye maandamano yanayoendelea huko Misri
source http://totallycoolpix.com/2011/01/the-egypt-protests-part-2/
Hapa wanaruhusu waandamanaji wapande juu ya vifaru vyao.
Hapa ndo wamenikosha kabisa