Du hawa watoto ni wakali

Du hawa watoto ni wakali

BABA JUICE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
426
Reaction score
54
[video=youtube_share;A-f37hcO1dU]http://youtu.be/A-f37hcO1dU[/video]
 
Chacha, bhoke, ghati...haya... rap ya kikuria/kichaga/kimasai?
 
Hakika ni wakali!! Ila nahofia wasije wakadharau masomo sbb ya kubobea ktk hip hop.
Inabidi kuwe na uswaziko. Mnaojua walipo, tafadhali washaurini sana.
Hakika kipaji wanacho.
 
Madogo inabidi watafutiwe mwalimu wa kuwapa directives! watakuja watishe huko mbeleni kama watapatiwa mwalimu na siyo mvuta mbagi. Hizi ndo vipaji vinavyotakiwa kuibuliwa kila sekta, siyo tu kwenye michezo hata nyanja zingine kama elimu, jeshini nk.
 
Dah! wapo juu. Ila huyo dogo wa pili nadhani ameshakuwa teja!.
 
Hahahahha...these kids!!Pure entertainment....
 
Back
Top Bottom