utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu wetu ila muikumbuke Tanzania !