Du jamani mnatisha

utiyansanga

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
213
Reaction score
7
Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu wetu ila muikumbuke Tanzania !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…