U utiyansanga JF-Expert Member Joined May 19, 2010 Posts 213 Reaction score 7 Jan 26, 2011 #1 Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu wetu ila muikumbuke Tanzania !
Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu wetu ila muikumbuke Tanzania !