geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
mimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!
nasubiri matusi!!!!!