geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Wivu wa kike baada ya kuchezea!mimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!
Mkuu sunajua yanga mpaka wahonge!!?mimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!
mimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!
kweli..! dah! soka letu hamna kitu...refa anasukumwa kadi hatoi..! anachezesha game yupo nervous, kuna penalties 2 kawanyima yanga kwa ajili ya uoga! something must be done....la sivyo tutakuwa watazamaji wa leagues za wenzetu mileleKama yule mchezaji wa prison anakunja ngumi kwa chirwa kutoka uwanjani polepole sijui wamemtoa kichochoro gani ligi ni mbovu sana huwezi kulinganisha na ligi za wenzetu ni aibu sana.
Acha porojo na maneno mbofumbofumimi napenda mpira wa miguu lkn leo nilikua na angalia mpira nikidhan ni wabunge wanacheza mechi ya kirafiki Dodoma, kutaamaki lahaula kumbe ni yanga na prison. Kwa kiwango hiki tuna safari ndefu.
nasubiri matusi!!!!!