Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bashite ashawavuruga sasa tutaheshimianaTimu inaogopa kuwa omba omba[emoji23][emoji23]
Na mpira tena baaashhhhhSawa dua ni muhimu lkn kama ntakuwa tofauti na utaratibu wa kisheria mtanisamehe!!
"Mimi nionavyo kwa umuhimu alionao MO ndani ya simba na taifa kwa ujumla naomba wapenzi na wanachama wote wa Simba pamoja na wale walioguswa na hili, tuliongezee nguvu jeshi la polisi kwa kufanya msako mkali wa hatu kwa hatua ili kuhakikisha ndugu yetu MO anapatikana tena akiwa salama salimini"
Naunga mkono hoja. Hakuna kitu imeniuma Kwa kipindi hiki kama kutekwa Kwa MO. Yaani naomba Mungu atende miujiza yake ili tumwone tena mpendwa wetu MO. Ni Tajiri pekee kijana asiye na Makuu.Sawa dua ni muhimu lkn kama ntakuwa tofauti na utaratibu wa kisheria mtanisamehe!!
"Mimi nionavyo kwa umuhimu alionao MO ndani ya simba na taifa kwa ujumla naomba wapenzi na wanachama wote wa Simba pamoja na wale walioguswa na hili, tuliongezee nguvu jeshi la polisi kwa kufanya msako mkali wa hatu kwa hatua ili kuhakikisha ndugu yetu MO anapatikana tena akiwa salama salimini"