OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mimi dua yangu ipo kwenye kufungwa mkuu maana wana kelele sana hawa mambumbumbuMpira wa miguu una matokeo matatu! Hata ikitokea mkafungwa, bado ni sehemu tu ya mchezo.
Wakishinda hapatakalika... Kenge zina kelele sanaMimi dua yangu ipo kwenye kufungwa mkuu maana wana kelele sana hawa mambumbumbu
Amina!View attachment 2124744
"Eeh Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema muumba wa mbingu na dunia. Tunakuomba uifanyie wepesi timu ya Simba wawakilishi wa Tz iweze kupata ushindi jioni leo"
"Its you our LORD we worship and its you only we ask for assistance. God we beg you to bless Simba SC"
Ameeeeeeeeen
Mungu Ibariki Simba Sc, Mungu ibariki Tanzania
Ni wakati sasa wa kukuombea hata wewe huyo roho wa kichawi akutoke. Ukoo umekutenga sababu ya huyo ibirisi mchafu , we Bado umo tu.Mimi dua yangu ipo kwenye kufungwa mkuu maana wana kelele sana hawa mambumbumbu
Najua hujawahi kutuombea mema, na ndio maana baada ya dua yako huwa tunajiombea tenaMimi dua yangu ipo kwenye kufungwa mkuu maana wana kelele sana hawa mambumbumbu
Tuko pamoja,wapigwe tu maana hakuna namna nyingineMimi dua yangu ipo kwenye kufungwa mkuu maana wana kelele sana hawa mambumbumbu
Uje na mrejeshoGame ya leo tunashinda kuanzia goli 2 na kuendelea
Simba iko fresh ni Mungu pekee akubali dua zetu.Dua Inaambatana Na Jitihada Pamoja Na Mipango Mizuri Ya Maboresho Ya Kikosi Kizima.
Sasa Mnachanganya Chupli Chupli Hapo Kinachotokea Kinajulikana Kabisa.