Dua ya kuku haimpati mwewe ila naombea mabaya Mamelodi

Wacha mamelodi achukue ubingwa halafu tuwaambie afrika bingwa halali alikuwa yanga !
 
Pumbavu ,mnajaza servers Tu humu kwa mada zenu za kipumbavu na ushabiki maandazi wa timu zenu za misukule hizo simba na yanga

Mnashindwa kujadili mambo ya muhimu yanayogusa nchi na maisha ya watu ,mnakesha kuzungumzia mavi

Ndio maana ccm inaendelea kutawala taifa la misukule na wapumbavu hili miaka na miaka .
Vichwa vikubwa akili kamasi .

Stupid kabisa
 
huyu mwamba uwa anaona mbali sana🀣🀣🀣apewe maua yake.
 

Attachments

  • Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    75.4 KB · Views: 5
acha mihemko,muombee mabaya refa achapiwe mkewe na wahuni huko apate maumivu na yeye.

Mamelody hana kosa kosa ni la Yanga kukubali kuendelea na mechi badala ya kumzonga refa wa MsimbaziπŸ€£πŸ˜‚
 
Eeh Mungu ikikupendeza, Mamelodi awe wamwisho, awe namba nne.
Afungwe mechi zote.

Amen
Hersi aliwatabiria Al Ahly na Mamelod kucheza fainali,kuna jambo alishirikishwa na aliafiki,mchawi mnaye ndani ya nyumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…