Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,487
- 83
Mlevi mmoja aliyependa pombe kuliko kitu kingine,
alijikuta akiingia matatani kutokana na tabia yake hiyo.
Jamaa huyu alichukia zaidi wakati wa mfungo wa Ramadhani ambapo watu hutakiwa kubadili tabia na kuacha ulevi na mambo mengine yasiyofaa.
Ili kuepukana na kero hiyo alijiadaa kwa sala maalumu ambapo siku moja aliingia
msikitini kwenda kushusha dua zake.Dua yenyewe aliiomba hivi:
"Ee Mola tujaalie Ramadhani iwe kama 'World Cup' kila baada ya miaka minne na nchi ziwe zina 'Qualify' kuingia;akimaanisha kuwa Tanzania haiwezi kufanikiwa kwa hiyo yeye ataendelea kupiga masanga yake!!
alijikuta akiingia matatani kutokana na tabia yake hiyo.
Jamaa huyu alichukia zaidi wakati wa mfungo wa Ramadhani ambapo watu hutakiwa kubadili tabia na kuacha ulevi na mambo mengine yasiyofaa.
Ili kuepukana na kero hiyo alijiadaa kwa sala maalumu ambapo siku moja aliingia
msikitini kwenda kushusha dua zake.Dua yenyewe aliiomba hivi:
"Ee Mola tujaalie Ramadhani iwe kama 'World Cup' kila baada ya miaka minne na nchi ziwe zina 'Qualify' kuingia;akimaanisha kuwa Tanzania haiwezi kufanikiwa kwa hiyo yeye ataendelea kupiga masanga yake!!