Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
๐ALLAH Akujalie Kheri Katika Dunia na Akhera
๐ALLAH Akuifadhi Katika Kila Hatua
๐ ALLAH Akusitiri Katika Aibu Zako
๐ ALLรH Akupe Wepesi Katika Maisha Ya Dunia
๐ ALLAH Akurudhuku Moyo wa Ukarimu
๐ALLAH Akupe Marafiki wenye Kheri na Wewe
๐ ALLAH Akuepushe na Shari na Kila Aina ya Shari
๐ ALLAH Akufanyie Sahaal Katika Haja zako
๐ ALLAH Akupe Nuru Katika Uso Wako
๐ALLAH Akusamehe Madhambi Yako ya Siri na Dhahiri
๐ALLAH Akukinge na Mashetani watu na Majini
๐ALLAH Akupe Muongozo Mzuri
๐ ALLAH Awarehemu wazee wako
๐ ALLAH Awaepushe wazee wako na Adhabu ya Kaburi
๐ ALLAH Atukinge na Adhabu ya Moto
๐ALLAH Atujalie Vizazi vyenye kheri
๐ ALLAH Awajalie wasio na Uzazi WAPATE Uzazi
๐ ALLAH Awaponyeshe Na KUWAPA Shifaa Wagonjwa wetu
๐Allah Atupe Nguvu kama Alizo mpa Nabii Musa Na Nabii Muhammad ๏ทบ
๐Allah Atukinge Na Maradhi kama Alivyo mponya Nabii Ayoubu
๐ ALLAH Atukinge na Watu Wabaya kama Alivyo Mkinga Nabii Isa Ibn Maryamu (a.s)
๐ Allah Atupe Kinga kama Alivyo Mkinga Nabii Ibrahim Allaahy-Salaam juu ya Moto
๐ Allah Atupe Ushindi Kama Alivyo Mpa Nabii Yusufu ndani ya Kisima.
๐ Allah Atukinge Na mikosi na Mabalaa na Njaa kama Alivyo Mkinga Maryamu
๐Allah Atukinge na Mahasidi wenye kutuhusudu
๐Allah Atupe Nyoyo za Ujasiri kama Aliyo Mpa Nabii Ibrahim
๐Allah Atujalie Tuwe wenye Ukarimu na Huruma kama Alivyo mjalia Nabii Muhammad ๏ทบ
๐ Allah Atujalie Tuwe wapole Kama Alivyo Mjalia Nabii Haruuni na Muhammad ๏ทบ
๐ Allah Atujalie Tuwe Wenye kutubia kwake Kila sekunde
๐Allah Atuweke mbali na Ushirikina wa Siri na Dhahiri
๐Allah Atupe VIFUA Vipana vya Ujasiri
๐ Allah Atupe Nyoyo za Mapenzi
๐ Allah Atukinge na Fitna za Uhai na Mauti
๐ Allah Atufungulie milango ya Kupata Riziki
๐Allah Atujalie Riziki zetu tuzipate Kwa Wepesi
๐Allah ajalie Majumba Yetu yawe na Nuru
๐ALLAH Azikubalie Ibada zetu
๐Allah Atujalie Siku ya Kiyama atufufue na Manabii wetu vipenzi.
๐ ALLAH Ataongoze Katika Njia ya Sirat Mustaqiimu.
๐Allah Awajalie Wasio na Ndoa WAPATE
๐Allah Atuepushe na Mitihani na Mikosi.
๐Allah Atujalie Husnul khatimaa.(Mwisho Mwema)
Allaahuma Swalii Allaah Muhammad Waalah Alhli Muhammad Kama swalaita Allaah Ibrahim Walaah Alhli Ibrahim Fii Alamina Innaqa Hamidun Majiid
Alhamdulillah Rabila Alamini
Allah Taqabaal Dua
Amiin Amiin Allahumma Amiin Iwe kheri
๐ALLAH Akuifadhi Katika Kila Hatua
๐ ALLAH Akusitiri Katika Aibu Zako
๐ ALLรH Akupe Wepesi Katika Maisha Ya Dunia
๐ ALLAH Akurudhuku Moyo wa Ukarimu
๐ALLAH Akupe Marafiki wenye Kheri na Wewe
๐ ALLAH Akuepushe na Shari na Kila Aina ya Shari
๐ ALLAH Akufanyie Sahaal Katika Haja zako
๐ ALLAH Akupe Nuru Katika Uso Wako
๐ALLAH Akusamehe Madhambi Yako ya Siri na Dhahiri
๐ALLAH Akukinge na Mashetani watu na Majini
๐ALLAH Akupe Muongozo Mzuri
๐ ALLAH Awarehemu wazee wako
๐ ALLAH Awaepushe wazee wako na Adhabu ya Kaburi
๐ ALLAH Atukinge na Adhabu ya Moto
๐ALLAH Atujalie Vizazi vyenye kheri
๐ ALLAH Awajalie wasio na Uzazi WAPATE Uzazi
๐ ALLAH Awaponyeshe Na KUWAPA Shifaa Wagonjwa wetu
๐Allah Atupe Nguvu kama Alizo mpa Nabii Musa Na Nabii Muhammad ๏ทบ
๐Allah Atukinge Na Maradhi kama Alivyo mponya Nabii Ayoubu
๐ ALLAH Atukinge na Watu Wabaya kama Alivyo Mkinga Nabii Isa Ibn Maryamu (a.s)
๐ Allah Atupe Kinga kama Alivyo Mkinga Nabii Ibrahim Allaahy-Salaam juu ya Moto
๐ Allah Atupe Ushindi Kama Alivyo Mpa Nabii Yusufu ndani ya Kisima.
๐ Allah Atukinge Na mikosi na Mabalaa na Njaa kama Alivyo Mkinga Maryamu
๐Allah Atukinge na Mahasidi wenye kutuhusudu
๐Allah Atupe Nyoyo za Ujasiri kama Aliyo Mpa Nabii Ibrahim
๐Allah Atujalie Tuwe wenye Ukarimu na Huruma kama Alivyo mjalia Nabii Muhammad ๏ทบ
๐ Allah Atujalie Tuwe wapole Kama Alivyo Mjalia Nabii Haruuni na Muhammad ๏ทบ
๐ Allah Atujalie Tuwe Wenye kutubia kwake Kila sekunde
๐Allah Atuweke mbali na Ushirikina wa Siri na Dhahiri
๐Allah Atupe VIFUA Vipana vya Ujasiri
๐ Allah Atupe Nyoyo za Mapenzi
๐ Allah Atukinge na Fitna za Uhai na Mauti
๐ Allah Atufungulie milango ya Kupata Riziki
๐Allah Atujalie Riziki zetu tuzipate Kwa Wepesi
๐Allah ajalie Majumba Yetu yawe na Nuru
๐ALLAH Azikubalie Ibada zetu
๐Allah Atujalie Siku ya Kiyama atufufue na Manabii wetu vipenzi.
๐ ALLAH Ataongoze Katika Njia ya Sirat Mustaqiimu.
๐Allah Awajalie Wasio na Ndoa WAPATE
๐Allah Atuepushe na Mitihani na Mikosi.
๐Allah Atujalie Husnul khatimaa.(Mwisho Mwema)
Allaahuma Swalii Allaah Muhammad Waalah Alhli Muhammad Kama swalaita Allaah Ibrahim Walaah Alhli Ibrahim Fii Alamina Innaqa Hamidun Majiid
Alhamdulillah Rabila Alamini
Allah Taqabaal Dua
Amiin Amiin Allahumma Amiin Iwe kheri