Dua za dhati kwa swahiba wangu Floyd Mayweather

Mkuu, bora Floyd apigwe na mabondia wenye title zao tayari kuliko huyu ngedere Conor McGregor.
 
Acha ushamba fatilia vitu huyo limbuken Floyd ni mchumba kwa Jayz na P didy ila wapo cool yeye weka utajiri wake na wa Man...Jiga ana maisha ..
UTAJIRI WA P DIDY $820 milion...Utajiri wa JAY Z $810 milion alafu utajiri wa mshamba Myawether ni $340milion ata nusu ajawafkia ila yeye kila sku ni kupga pcha na vinot daily. ..ushamba utakuja kumfanya maskin ajifunze kwa wenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee unajua kusoma kweli?

Wapi nimeandika Floyd ana hela kuliko Jigga na P Didy?

Floyd ana hela ukimlinganisha na C. Ronaldo na huyo Messi.
 
Aisee unajua kusoma kweli?

Wapi nimeandika Floyd ana hela kuliko Jigga na P Didy?

Floyd ana hela ukimlinganisha na C. Ronaldo na huyo Messi.
Soma coment yangu uliyojbu yote utaelewa kua ulikurupuka kujbu bila kusoma. ...Jayz na P Didy niliwataja ndan. ..ukarukia Messi na Ronaldo ambao nmewataja kama others

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma coment yangu uliyojbu yote utaelewa kua ulikurupuka kujbu bila kusoma. ...Jayz na P Didy niliwataja ndan. ..ukarukia Messi na Ronaldo ambao nmewataja kama others

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ngoja nikuache tu maana nimeshajua nabishana na mtu wa namna gani, nisije nikajishushia CV yangu bure.


[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kwan Drei ni mzungu?????.......
.haraf mbona pdidy ana jeuri hadi jina kalibadilisha anaitwa dirty money.

Ila blacks wengi wana jeuri ya pesa wakizipata.

Carpe diem.....[emoji187]
 
Ukiona watu wanjisifia pesa ,elimu nk kwa watu wasiowajua basi ujue hawana hivyo wanavyojinasibisha navyo!
Cc hance mtanashati
Mtanzania mzawa

Sent using Jamii Forums mobile app

kwa hiyo unataka useme Floyd hana hela au?
The guy hapo juuu kasahau kitu, ukiona mtu anajipa shangwe. Juu ya hela zake au mafanikio fulani jua pia ame hustle kuzipata, ngoja ajipe shangwe kwa alicho tengeneza..

Carpe diem.....[emoji187]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…