Dua zenu jamani, nipo kwenye boti naenda Zanzibar

Dua zenu jamani, nipo kwenye boti naenda Zanzibar

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Habari za mida wakuu.

Nipo kwenye boti mda huu kutoka Dar kuelekea Zanzibar kubwa kuliko yote nahitaji dua kwa imani yako ili nifike safari yangu salama.
1521260823946.jpg
1521260864635.jpg
1521260883138.jpg
 
Sasa mkuu kwa nn usipige selfie?
Huoni kuweka picha za watu wengine bila ridhaa unaweza hatarisha amani.!? Ungejiweka wewe mwenyewe tu
 
Safari njema bby. Usisahau zawadi zangu nilizokuagiza please
 
Sasa ndio nini kunipiga picha na kutupia huku?!

Jamaa zangu hata hawajui kuwa nna safari ya Zenji leo...
 
Unapiga picha watu kibwege namna hii,ivi unajua wengine tumeaga tunaenda Moshi alafu unatuma mipicha yako umu tuko kwenye boti inaenda Znz huu wehu wa kupiga picha ovyo kafanye mbugani uko.
 
Unapiga picha watu kibwege namna hii,ivi unajua wengine tumeaga tunaenda Moshi alafu unatuma mipicha yako umu tuko kwenye boti inaenda Znz huu wehu wa kupiga picha ovyo kafanye mbugani uko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
alafu kupiga piga picha watu mnaharibu ndoa za watu sa nyingine
Kweli kabisa, unaweza kuta mtu kaaga nyumbani kuwa anaenda Songea kikazi na mara anaonwa na mwenza wake akiwa kwenye boti la kuelekea Zanzibar [emoji41]
Sasa mkuu kwa nn usipige selfie?
Huoni kuweka picha za watu wengine bila ridhaa unaweza hatarisha amani.!? Ungejiweka wewe mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom