Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Mkuu, kutoka Dar kwenda Zanzibar (Unguja) hupiti Nungwi, kutoka Unguja kwenda Pemba ndio unapita Nungwi.kuwa makini na NUNGWI tu.... nasikia huo mkondo ni kama bermuda triangle
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapiga picha watu kibwege namna hii,ivi unajua wengine tumeaga tunaenda Moshi alafu unatuma mipicha yako umu tuko kwenye boti inaenda Znz huu wehu wa kupiga picha ovyo kafanye mbugani uko.
Hahaha atashuka mkuu unamtishajuzi bahari ilichafuka sana .safiri salama
Hapana cha baby hapa nilikuona uko na Mr Miller.Safari njema bby. Usisahau zawadi zangu nilizokuagiza please
Nungwi mpaka uelekee Pemba.kuwa makini na NUNGWI tu.... nasikia huo mkondo ni kama bermuda triangle
Kweli kabisa, unaweza kuta mtu kaaga nyumbani kuwa anaenda Songea kikazi na mara anaonwa na mwenza wake akiwa kwenye boti la kuelekea Zanzibar [emoji41]alafu kupiga piga picha watu mnaharibu ndoa za watu sa nyingine
Sasa mkuu kwa nn usipige selfie?
Huoni kuweka picha za watu wengine bila ridhaa unaweza hatarisha amani.!? Ungejiweka wewe mwenyewe tu
Nungwi ndo nin kitu gani mkuuMkuu, kutoka Dar kwenda Zanzibar (Unguja) hupiti Nungwi, kutoka Unguja kwenda Pemba ndio unapita Nungwi.