Dua Zenu Watanzania Mbele Mo Sarah Nyuma Mahrez Kushoto Mane Kulia Wanyama

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
 
Ili Tanzania ifuzu inatakiwa imchape kenya itoe sare na algeria na Senegal

Yetu macho
 
Huyu kumbe sio wakwetu!!
 
Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Hili kundi umelitoa wapi
Na umefanya kusudi kuiweka Misri
kama ulivyo anza na Mo sarah
 
Reactions: PNC
Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Hatuko na Misri wacha urongo
 
Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal

Wabunge wetu watatusaidia tutashinda.
Timu pinzani hazitaingia uwanjani kuunga mkono jitihada za Taifa Stars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…