Dubai na Uturuki yanufaika kwa wimbi la mamilionea wa Kirusi kutoroka nchini mwao

Dubai na Uturuki yanufaika kwa wimbi la mamilionea wa Kirusi kutoroka nchini mwao

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Hali ya kiuchumi Urusi ni mbaya. Zaidi ya mamilionea elfu 15 pamoja na wafanyabiashara wanatoroka Urusi nakuhamia Dubai na Uturuki.

Dubai na Uturuki zimefaidika sana kwa wimbi la hawa mamilionea wa kirusi ambao wamehamishia hela zao huko.

Mamilionea hao wanatoroka Urusi kwasababu ya hali mbaya ya kiuchumi na biashara zao kuhathirika. Pia wanahofia wanaweza kupoteza utajiri wao kabisa kwasababu hali inavyozidi kuwa mbaya.

Dubai walijiwekea malengo kabla hata ya hii vita ya Ukraine wanataka kuwakaribisha mamilionea elfu moja kila mwaka. Lakini tangu vita ya Ukraine ianze tayari mamilionea zaidi ya elfu 5 wameomba residency wengi wao wakiwa kutoka Urusi.

Hali ni mbaya urusi kiuchumi. Raia wa kawaida wa urusi wanakipata. Kina putin na genge lake ndo wanafurahi.
 
Vikwazo vyote alivyopigwa urusi anatokea mtu mmoja anakwambia russia haiathiriki kabisa na vikwazo hivyo. Vile vikwazo ni balaa zito, na elfu ya matrilioni ya kirusi yamepigwa pini huko ulaya na amerika.
 
Hali ya kiuchumi urusi ni mbaya. Zaidi ya mamilionea elfu 15 pamoja na wafanyabiashara wanatoroka Urusi nakuhamia Dubai na Uturuki.
Siyo kweli. Tumeishaelezwa kuwa Matajiri wa Russia wanaikimbia Ulaya kwa sababu ya risk kubwa ya kufanya Biashara kule . Haya yalisemwa na VoA wakishirikiana na Reuters
=====
Rich Russians are trying to shift some of their wealth from Europe to Dubai to shield assets from a tightening wave of Western sanctions on Russia over its invasion of Ukraine, financial and legal sources said.

Dubai, the Gulf’s freewheeling financial and business hub, has long been a magnet for the globe’s ultra-rich and the United Arab Emirates’ refusal to take sides between Western allies and Moscow has signaled to Russians that their money is safe there.
- - -
----
Ni kuwapiga spana Kila uzi ! Ha ha hahahaha!!!
 
Matajiri duniani wamezoea kushika Dolla, Euro na Pound leo umwambie tajiri utatajirika kwa RUB ya Russia atakubali wapi?? Duniani kila nchi inaisaka dolla kwa udi na uvumba, hata Oman Riali iko juu kuliko dola lakini utamkuta anahangaika na hiyo hiyo dola kwenye exchange rate na soko la uchumi wa dunia.

Mi nadhan Russia iinue mikono wale wamagharibi ni waliwekeza ulimwenguni kitambo sanaa, ni suala la muda tu Russia naitazamia kuwa kama Msumbiji au Zimbabwe
 
Matajiri duniani wamezoea kushika Dolla, Euro na Pound leo umwambie tajiri utatajirika kwa RUB ya Russia atakubali wapi?? Duniani kila nchi inaisaka dolla kwa udi na uvumba, hata Oman Riali iko juu kuliko dola lakini utamkuta anahangaika na hiyo hiyo dola kwenye exchange rate na soko la uchumi wa dunia.

Mi nadhan Russia iinue mikono wale wamagharibi ni waliwekeza ulimwenguni kitambo sanaa, ni suala la muda tu Russia naitazamia kuwa kama Msumbiji au Zimbabwe
Uko sahihi Russia iko mbioni kuwa Zimbabwe
 
Mzuka wanajamvi!

Hali ya kiuchumi Urusi ni mbaya. Zaidi ya mamilionea elfu 15 pamoja na wafanyabiashara wanatoroka Urusi nakuhamia Dubai na Uturuki.

Dubai na Uturuki zimefaidika sana kwa wimbi la hawa mamilionea wa kirusi ambao wamehamishia hela zao huko.

Mamilionea hao wanatoroka Urusi kwasababu ya hali mbaya ya kiuchumi na biashara zao kuhathirika. Pia wanahofia wanaweza kupoteza utajiri wao kabisa kwasababu hali inavyozidi kuwa mbaya.

Dubai walijiwekea malengo kabla hata ya hii vita ya Ukraine wanataka kuwakaribisha mamilionea elfu moja kila mwaka. Lakini tangu vita ya Ukraine ianze tayari mamilionea zaidi ya elfu 5 wameomba residency wengi wao wakiwa kutoka Urusi.

Hali ni mbaya urusi kiuchumi. Raia wa kawaida wa urusi wanakipata. Kina putin na genge lake ndo wanafurahi.
Umeandika kishabiki sana nchi zote duniani matajiri wanawekeza nyumbani na nchi nyingine wanazoona watafaidika pamoja na mapigano yaliyopo Congo bado matajiri wanawekeza pesa zao matajiri WA Russia wameondoa pesa zao ulaya na kuzikimbiza nchi nyingine ambapo Wanaona watafaidika Ila umeandika utafikiri ni Jambo jipya duniani
 
Matajiri duniani wamezoea kushika Dolla, Euro na Pound leo umwambie tajiri utatajirika kwa RUB ya Russia atakubali wapi?? Duniani kila nchi inaisaka dolla kwa udi na uvumba, hata Oman Riali iko juu kuliko dola lakini utamkuta anahangaika na hiyo hiyo dola kwenye exchange rate na soko la uchumi wa dunia.

Mi nadhan Russia iinue mikono wale wamagharibi ni waliwekeza ulimwenguni kitambo sanaa, ni suala la muda tu Russia naitazamia kuwa kama Msumbiji au Zimbabwe
Oman anaweka kwenye dollars at Kama pesa yake Ni kubwa kuliko Dollars
 
Siku vita ikiisha FSB watawageukia hao wasiokuwa na uzalendo.

Trust iwe outi au Medvedev hatowaacha hao watu
 
Vikwazo vyote alivyopigwa urusi anatokea mtu mmoja anakwambia russia haiathiriki kabisa na vikwazo hivyo. Vile vikwazo ni balaa zito, na elfu ya matrilioni ya kirusi yamepigwa pini huko ulaya na amerika.
Hawa vip wanafurahia maisha

Workers take to London's streets amid cost of living crisis​

18 June 2022
Protesters demonstrate in central London, Britain, 18 June 2022

IMAGE SOURCE, EPA
Thousands of protesters have taken to the streets of London to demand action from the government on the cost of living crisis.
 
Atakoma mwaka huu na ujeuri wake hakuna tajiri atabadilisha pesa zake kuipata RUB ya Russia
Waliokoma wako mtaani huko wanaandamana

Workers take to London's streets amid cost of living crisis​

18 June 2022
Protesters demonstrate in central London, Britain, 18 June 2022

IMAGE SOURCE, EPA
Thousands of protesters have taken to the streets of London to demand action from the government on the cost of living crisis.
 
Back
Top Bottom