Dubai's Construction

wajomba personally naona bora niendelee na hoja ya properties..

huhitaji kuwa na degree in economics kujua kuwa fundamentals are next to zero there, everything has been built based on speculation and monthly price rises, to further fuel speculation on new developments.

zaidi ya hayo, hii slowdown inareflec a combination of prices reaching the height of ridiculousness (not much has sold here in the last 12 months - fact), now there is no liquidity as well as opportunity for profit - so yes the speculators are no longer buying.


jamani hii ndio DUBAI MARINA

Unajua saa zingine sijui waaoishi pale wanamwamini nani kutoa RAW data pale dubai...For a start one should orget government forecasts of population growth, it's propaganda - just like every other statement that is produced na wale ma sheikhs, If you want to believe it, then put your money where your mouth is and buy Emaar shares right now - not just a few dhs worth, but as much as you can't afford kisha baada ya mwaka mmoja tupeane updates...


From my understanfing ni kuwa end users with any modicum of common sense have never trusted the real estate market in Dubai na kama wapo wanaoishi pale wanaweza kutufahamisha zaidi. While lots of money has been made short term, long term there was always questions over legalities, residence, build quality, stability, and above all - trust in future government policy. Until those issues are addressed, those long term fears will remain.


My only prediction is that around 20% of the expat population will go home in the next 2 years. We will see where Dubai is property wise then.
 
Last edited:
new york times la leo...
 
new york times la leo...
 
I concur with those who are of the opinion that tall buildings do not at all depict development strides for a country. In a country with shortage of land one can consider that to be an opportune moment to erect sky scrapers and so on. What actually worries me is the design that is adopted for some buildings in the City. I hate to see tall buildings doned with reflective glass mirrors all over. I wonder if NEMC could wake up in their slumber!!! Please just try to pass in these buildings along Samora Ave.in DSM and see what the reflections do to the surroundings. I wonder what happens to those living or working close/ accross these structures during the scorching sun of the day!!
 

Exactly! Tena bubble imebust, real estate prices zimeanguka kwa 40% na kuna prediction kuwa zitashuka 60%!!! Dubai could be in trouble, kuna habari hadi ya kuiuza Emirates kwa Abu Dhabi. Hata line jengo ambalo ndo lingekua tallest in the world wamesimamisha construction.
 

Ha, ha, maneno ya ......................
 
Pretty much Dubai is broke, they might even have to give away their prized Emirates Airline to make payments on their palm islands and whatnot. So they asked big brother Abu Dhabi for help, and guess what Abu Dhabi said they want 51% of EK and other state run companies.
 
Dunia nzima iko kwenye crisis sio dubai peke yake, na hata kama abudhabi ikichukua emirates si bado iko chini ya nchi moja UAE. Ukweli ni kwamba hata wakiyumba bado wako mbali. Kwanini watanzania wasichukue mfano au ndio tumeridhika na vi twin tower mbuzi vyetu?
 
Last edited:

Maendeleo ya Dubai ni phenomenal,watu wachache wenye akili na wala si wasomi sana ila wanajua kuwekeza na kuipenda nchi yao.
Kwa wale walio fika huko mtakubali kuwa vile vile kuna uaminifu wa hali ya juu.
 

wacha jeolousy
 
...hivi yale majengo sub standard na machafu yasiyo na parking,maji wala sewage system ya kariakoo nayo ni maendeleo? nakubaliana na arguments za Mchundo kwa kiasi kikubwa sana,lazima environmental study ifanyike kabla ya kutoa kibali cha ujenzi,kingine kinachonikera na ujenzi wa Dar maghorofa mengi yanayojengwa hayana mvuto wowote,yaani unaona kabisa ni kazi ya kulipua tuu,inabidi wawe selective na architectural plan sio kila donut yenye shilingi mbili inapata kibali cha kujenga,mji unaharibika sana wakuu kwa vile vighorofa substandard vilivyojaa siku hizi.
 
Rwanda: Kigali Ready for Real Estate Developers
Caroline Dusabe
26 January 2009


Kigali City has one of the fastest growing real estate industries in the region yet city dwellers still find it hard to acquire good rates when looking for areas to rent especially in the residential areas.

One of the challenges of living in Kigali has been finding decent but affordable housing. Most developers in the past few years concentrated on developing commercial real estate and those who went into residential real estate developed housing for the high income earner given the influx of expatriate labour into the country. This left a big vacuum which has made finding housing for the poor a nightmare. Developers should consider venturing into the development of real estate for the medium and low income earner as that is the majority of the population.

The new city's 50-year master plan unveiled late last year aims to address the problem. The master plan shows zonal designs, infrastructural designs and a full detailed plan on how this will be achieved. It shows what kind of infrastructure is expected in certain areas and also contains land sale documents for the land that is available to developers.
Sources at the city council confirm there are a good number of hectares available to developers in the city. In the Central Business District (CBD) of Nyarugenge there are seven hectares around the main round about ready for developers and also 150 hectares in the Muhammad area which is also in the CBD.

The Muhima area is slated for mixed use, i.e. both residential and commercial.

There are 50 hectares available in Batsinda/Kinyinya area. Kinyinya is one of the fastest growing residential neighbourhoods in the city where one can find posh homes valued above Frw60 million. A walk through this area reveals that real estate is one of the fastest growing industries in the country and the kind of homes exhibited here reflect the rate at which the country's economy is growing.

According to the new plan, low and middle cost housing will be developed alongside the high cost housing. Some 39 hectares of land are ready for such developments in Kigarama-Kicukiro.

Developers need to consult the new master plan so as to avoid getting in trouble with the city council officials when implementation of the master plan starts.

This is because developers will have to adhere to the projected design of the area according to the new plan. Some old developments will have to be put down whenever and wherever they do not meet standards and some people will be asked to develop their land or sell it to potential developers. Developers also need to look at the infrastructural design of the area to understand the upcoming infrastructure like roads, water and sewage lines to avoid unnecessary losses in the future. A visit to the city council offices or their website would give such information to any potential investor.
The city council has already started on work to develop infrastructure in those areas so that by the time land is released to developers it is ready for immediate use which will help speed up the quantity and quality of developments.

The council plans to hold another press release by early next month to launch the completed and approved master plan after which developers will have access to land sale documents and the marketing plans for different areas.

By March, Kigalians can see the first leg of the 50-year master plan implemented. Some real estate developers around the city have said they can't wait to get a nod from the city council to start developments. They are vowing to turn the city of a thousand hills into the city of a thousand skyscrapers.

There will, however, be complainants who will want to resist the change especially the slum dwellers who will have to be relocated.

Last year when some slum dwellers were displaced from Kiyovu, some people complained but the city council answered back by providing low cost but decent housing for them in other places where they have basic infrastructure and a friendly mortgage scheme for the houses. The council has partnered with other stakeholders to train disadvantaged people into starting income generating activities.

Copyright © 2009 East African Business Week. All rights reserved. Distributed by AllAfrica Global Media (allAfrica.com).
 
Ofcourse sio siri tena kuwa uchumi wa Dubai umeshaanza kuyumba, na isitoshe kuporomoka kwa bei ya mafuta nako hakujawasaidia. mafuta yataisha miaka michache ijayo(wanatabiri 2016).

 
Kama america ita survive recession na kutoingia kwenye depression, Dubai will survive too. Tatizo wazungu wawest wanajiona ni wao tu ndio wanaoweza kuweka mipango sustainable, ni wao tu ndio wenye reliable control systems and so forth. Lakini hii economic recession imefungua macho watu wengi. Huitaji kuwa a Harvard Professor kujua tatizo ni mismanagement na poor regulations kwenye U.S economy ambayo ndio inadrive world economy. Obama kaliongelea kwa kirefu sana hili wakati wa campaign na hata wakati wa transition.

Sheikh Rashid wa Dubai hakuwa stupid!... hakukaa yeye na mashemeji zake tu kwenye kahawa kuplan ile kitu. Waliitwa the best brains from all over the world. Watu wa fani mbalimbali including top economists, and real estate developers kumpa nini cha kufanya technically. Yeye alikua na vision yake ila ni msikivu kwa wataalam. Matatizo ya hii financial crisis itakua quite myopic kuilenga Dubai tu na kusema wao tu ndio wanao suffer, ukiamua kuweka bad news za economic crisis kwa huko marekani nadhani utahitaji pages 100 za hii thread.

Tukubali tu hawa jamaa wapo mbali, na wameweza kufanya kwa muda mfupi. Wananchi wao(wazawa) hakuna maskini hata mmoja!... yes you heard me right, hata mmoja. As wana special grants za serikali za kuwawezesha kuishi vizuri. Elimu na healthcare kwa hawa beduin ni free... Maskini wa Dubai ni wazamiaji kutoka india, bandladesh na nchi nyingine za kiarabu. Sasa i dont know maendeleo mnayotaka wengine ili mseme watu wamepiga hatua. Badala ya kujifunza, tunakebehi. Dubai hawana mafuta so tusijifariji kuwa wao wanamafuta mengi ndio maana wapo hapo. Tujifunze.

Hawa wamarekani hata china ilipokua inapaa kwenye '90s waliitabiria kuwa economy ya China ita "overheat" na kucrush kabla ya millenium. Millenium ikaja na imepita, mchina anakamua tu, na katika kipindi hicho amewaruka kiuchumi kama wamesimama France, UK, na juzijuzi Germany...wamebaki Japan na US tu mbele yake.

Wawest waache wivu, they are not the only people who have brains, dunia imeamka... Wawest wamepanic, their only superiority(knowledge) inakuwa challenged, maana hawana watu(wazungu wanamezwa), na hawana land. Wangekua na hiyo mipango robust na fool proof, America isingekua kwenye hiyo mess walioko now!
 
kwani sasa nini? magorofa ndio maendeleo au nini? Osama, naomba uwaoneee huruma hao wenzio, Israel, naomba uwaonee huruma hao wenzio. kwasababu wakirusha hata bomu la mkono tu, kazi ipo.
 
Swali langu ni kwa nini Abu Dhabi hawataki kuwasaidia wenzao?

 

Well said Mr Sober,some people are taking in news from the west by swallowing the hook,sinker and fishing line without even disturbing their white matter!
Dubai iko mbali na mbele sana, sie tukishabikia kutetereka kwa uchumi wake lazima tuwe watu wa ajabu.
Those guys as few as they are have done what one may only term as wonders.
Bottom line is they have used their resources wisely,and when you are down the only place you can look and go is UP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…