Dube amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga 'Hat-trick' ligi kuu ya NBC msimu huu

Dube amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga 'Hat-trick' ligi kuu ya NBC msimu huu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Baada ya maombi mazito hatimaye mtoto wa mfalume aweka rekodi yake msimu huu

Hat-trick' ya kwanza kwenye ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 imefungwa na Prince Dube

Tangu ligi ianze Dube amekuwa na wakati mgumu katika ufungaji na ikafika hatua mashabiki wa Yanga na wadau wa soka kuanza kusema na kushusha kiwango chake na wengine wakafika mbali kwa kusema Yanga walifeli kumsajili Dube.

Lakini leo amejibu maswali ya watu wengi na kama ataendelea na uwezo wake wa kufunga basi Dube atakuwa tishio ndani ya ligi kuu katika msimu huu.

Snapinsta.app_470920881_1546763172642293_5310366208353143781_n_1080.jpg
 
Kuna yule mwenye goli 5 lakini 3 zote za kutengewa(penalty) ili afunge,,mwanamfalme kaibuka na kugonga 3 ndani ya dk 90 na ndani ya mechi moja
 
Mbumbumbu kama ni ndefu inawafanya mjisikie kutapika tapika nawashauri mchomeo muende mtaoga mkifika..
 
Magoli mepesiii hakuna la kiufundi hata moja...yote ni kama alikua amepangwa ili apelekewe..hahaja
IMG-20241220-WA0008.jpg

Malizia beee
 
Kuna yule mwenye goli 5 lakini 3 zote za kutengewa(penalty) ili afunge,,mwanamfalme kaibuka na kugonga 3 ndani ya dk 90 na ndani ya mechi moja
Kwa hiyo kama Aziz Ki anakosa penalty hilo ni kosa la Ahoua!? By the way Mukwala kagonga 3 nje ya dakika 90 na kwa mechi zaidi ya moja!? Maana naona kama unataka kuipa hat-trick ya Dube utukufu uchwara sasa, wakati vigezo vya hat_trick vinajulikana.
 
Back
Top Bottom