mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Babu kasema ana ugwadu wa kutisha,nadhani Tarehe 8 ndiyo siku ya kuuondoa ugwaduNa babu Chama hajaahidi bado?
Wewe ni msemaji ovyo wa utopolo
Simba walimchukua Morrison wakati ana mkataba na Yanga, Azam wakamchukua Feisal wakati ana mkataba Tena katikati ya msimu.Health aache tabia ya kuwarubuni wachezaji wa timu pinzani ambao wana mkataba na timu zao.
Asubiri mwisho wa mkataba yao ndio atoe ofa yake.
Manara na Senzo tuliwachukua wakiwa huruSimba walimchukua Morrison wakati ana mkataba na Yanga, Azam wakamchukua Feisal wakati ana mkataba Tena katikati ya msimu.
Yanga walipitia ayo machungu na maisha yanaendelea na kwakua wapi nzani wa Yanga waliya anzisha ayo, wategemee kuendelea kujibiwa kwa Kila dirisha la usajili mpaka waje wapige magoti na kuomba samahani.
Morrison mkataba wake uliisha na ikathibitishwa hivyo na kamati ya TFF ndio maana akashinda kesi.Simba walimchukua Morrison wakati ana mkataba na Yanga, Azam wakamchukua Feisal wakati ana mkataba Tena katikati ya msimu.
Yanga walipitia ayo machungu na maisha yanaendelea na kwakua wapi nzani wa Yanga waliya anzisha ayo, wategemee kuendelea kujibiwa kwa Kila dirisha la usajili mpaka waje wapige magoti na kuomba samahani.
Tff hii ya kidau na karia au nyingine?Morrison mkataba wake uliisha na ikathibitishwa hivyo na kamati ya TFF ndio maana akashinda kesi.
Angekuwa ndani ya Mkataba angeshindwa kesi.
Kaahidi kutofungaNa babu Chama hajaahidi bado?