Mimi ni Miongozi mwa Wanafunzi wa DUCE niliyefanya Mtihani wa SUPP mwaka wa tatu.Cha kushangaza Matokeo mpaka Leo hayajatolewa isipokuwa kwenye masomo niliyokamatwa wameweka _**To Supp.GPA vilevile wamebandika.sasa sijui GPA wametoa wapi wakati Masomo Mawili niliyokamatwa hayajajazwa alama.Anayeelewa naomba anijuze kwani nimechanganyikiwa.