Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe juu yenu wakuu
Kwanza tunaanza na salam
Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu
Stay tune goma linakuja
Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko
LONDON BOY
Kwanza tunaanza na salam
Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu
Stay tune goma linakuja
Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko
LONDON BOY