Dudu Baya ampa za uso Msigwa

Dudu Baya ampa za uso Msigwa

Kitambo sana huyu ngosha.kumbe yupo?Yuko sahihi lakini: Naona maji yamefuata mkondo..hapo kitongojini kwao Bujora na Kisesa yote kwenda Magu huko,ni PEOPLES POWER tupu.Palipigwa fataki na Oparesheni TIGITIGI ya Marehemu ALPHONCE MAWAZO- maalumu kwa kumkomboa Musukuma kutoka kwenye undezi wa CCM.CCM ikafutika na ndiyo chanzo cha hadaa za kumpeleka Samia eti kusimikwa na wazee wa kimila wa Kisukuma wa Bujora na kumpa uchifu na jina la HANGAYA( Mjane/ Mfiwa..wa).Sasa sijui alikuwa mke wa MAGUFULI??!.Akili za CCM wanazijua wao tu.Mila za Kusukuma haziko hivyo: Hata Diwani wa pale MABIINA alipouawa kwa nguvu ya umma, CCM walitundika daruga juu, hawakutaka uchaguzi wa marudio ufanyike, kata ya Kisesa ikabaki bila Diwani na kuwakosesha wananchi haki yao kikatiba ya kuwa na mwakilishi.Eti chama tawala na visasi vya kijinga kwa unaowatala::??!!Mwamba agombee Udiwani sasa pale Kisesa-2025, jirani yake Kala Jeremiah zao la Mabatini pale awe Kampeni Meneja, washereheshwe na rafiki yao KAKA MAN na wimbo wake_'Kama noma na iwe noma_':- CHADEMA mtatangazwa washindi siku ya uzinduzi wa kampeni.
 
Nilisoma Mlimani. Hata ikiwa vipi. Kuna sehemu siwezi kuisema vibaya japo ina ubaya wake? Itakuwa muuza mitumba aliyefanywa kuwa kuwa mbunge na chadema
Basi kwa maneno hayo, Mchungaji Msigwa atakua amezingua pakubwa Sana
 
Back
Top Bottom