Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yake sahvi ni kuwapa watu za uso tuDuh
Vile ulivyo nakupenda tu 😃😃
Kwa kweli, kaongea points tupuKazi yake sahvi ni kuwapa watu za uso tu
Ova
Sema huyu jamaa kaongea points tupu kumhusu Msigwa. Naona Msigwa angeongelea tu ishu za CCM badala ya kupoteza muda kuisema CHADEMAKazi yake sahvi ni kuwapa watu za uso tu
Ova
😄 kweli kabisa,Sema huyu jamaa kaongea points tupu kumhusu Msigwa. Naona Msigwa angeongelea tu ishu za CCM badala ya kupoteza muda kuisema CHADEMA
Jamaa kaongea madini tupu Aiseeee, kweli umdhaniaye siye kumbe ndio yeyeKwamba "wanasiasa wanaitwa waheshimiwa lkn nao wana waheshimiwa wao waliowakopesha. Wana madeni kama mbwa"
Hahahahhahahaa Ndugu yangu, njaa haina baunsaNilikiwa sijui kwamba msigwa ni mpuuzi wa kiwango hiki
Sio yeye, anatamani kukaa kimya but anapewa cha kufanya! Na hawezi kukataaHeshima ya msigwa ipo kwenye kukaa kimya
Nilisoma Mlimani. Hata ikiwa vipi. Kuna sehemu siwezi kuisema vibaya japo ina ubaya wake? Itakuwa muuza mitumba aliyefanywa kuwa kuwa mbunge na chademaHahahahhahahaa Ndugu yangu, njaa haina baunsa
Basi kwa maneno hayo, Mchungaji Msigwa atakua amezingua pakubwa SanaNilisoma Mlimani. Hata ikiwa vipi. Kuna sehemu siwezi kuisema vibaya japo ina ubaya wake? Itakuwa muuza mitumba aliyefanywa kuwa kuwa mbunge na chadema