Mwanamziki Dudu baya a.k.a konki konki konki master achangazwa na kitendo Cha media nyingi kurusha vitu vya ovyo hewani pamoja na kuwahoji watu Kama James delicious, umber rutty ambao wanasifika kwa mambo machafu lengo lao ni Nini?
Dudu baya ameongeza pia Kuna siku nilisikia mtangazaji ana hoji mambo ya ovyo ovyo bila hata kuchuja mambo hivi vitendo vinachochea vitu vya kijinga kuongezeka Tanzania kwasababu wahusika wanaamini wakifanya vitu vya kipuuzi media zitawaomba mahojiano na watakuwa maarufu kweli hili nitalifanyia kazi na nitaongea na mhe mwakiembe.