Dudu Baya au Konki Master alitumiwa na Diamond Platnumz

Dudu Baya au Konki Master alitumiwa na Diamond Platnumz

Ruyama

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
367
Reaction score
563
Uki unganisha dots kipindi Diamond Platnumz alivyokuwa na bifu na marehemu Ruge Konki Master alikuwa anamtukana sana pia baada ya Harmonize kujitoa Wasafi Konki Master akawa anamtukana mnoo.

Konki Master akaanza kumtukana Joseph Kusaga ndipo Konki Master akatolewa Wasafi, sasa kumbe Diamond Platnumz alikuwa anamtumia Konki Master huku yeye akijifanya mwema.
 
Diamond hakumtumia Dudubaya, ila Dudu alivuka mstari ikabidi Diamond achague upande wa business partner wake.

Unamtukana business partner wake alafu unaonywa hutaki maanake unataka wagombane kwa sababu yako mpita njia.

Mfano mzuri ni Babalevo, akijiona ni muhimu sana basi ajue kuwa ikifika time Diamond achague kati ya Babalevo na Babu Tale basi Diamond atamchagua Babu Tale sababu wametoka mbali na bado safari yao ni ndefu.

Sio suala la kutumiana ni ishu ya kujua mipaka yako kwenye jambo lolote. Very simple
 
Kapotelea wapi Sasa hivi ?bila shaka huko vichochoroni bado anawatishia wanywa gongo wenzake ,...konky ,konky ,konky master
 
Diamond hakumtumia Dudubaya, ila Dudu alivuka mstari ikabidi Diamond achague upande wa business partner wake.

Unamtukana business partner wake alafu unaonywa hutaki maanake unataka wagombane kwa sababu yako mpita njia.

Mfano mzuri ni Babalevo, akijiona ni muhimu sana basi ajue kuwa ikifika time Diamond achague kati ya Babalevo na Babu Tale basi Diamond atamchagua Babu Tale sababu wametoka mbali na bado safari yao ni ndefu.

Sio suala la kutumiana ni ishu ya kujua mipaka yako kwenye jambo lolote. Very simple
Kwa hyo boss hamkubali chawa wa msanii?
Ila umasikini mbaya Sanaa.
Machawa yanateseka sana
 
Dudu Baya alimtukana Kusaga kwenye Instagram...pia alimtukana Professor Jamal Mustapha anaemsaidia Diamond kuendesha vipindi Wasafi Tv.
Kwani clouds media na diamond si Wana bifu?
Inakuwaje boss wa clouds awe na urafiki na diamond?
 
Wasafi na Clouds wana bifu ila Diamond na Kusaga ni marafiki na wanafanya biashara pamoja.

Mambo ya mjini hayo inaweza isiwe rahisi kuyaelewa.
NI clouds na wasafi au clouds Na diamond ndo wana bifu?
 
Mabifu yanawaweka mujini vijana
Well said kuna watu wamekuwa mpaka mabalozi wa makampuni kwa kushabikia hizi beef.

Konki akuchanga karata zake vizuri.

Diamond katoa fursa nyingi sana kwa vijana nchi hii ipo siku watu wote tutakubaliana kwenye ili.
 
MONDI ANAJUA SANA KUWASHIKA AKILI VILAZA WANAOMCHUKIA

KWELI MONDI AKILI KUBWA
 
Diamond hakumtumia Dudubaya, ila Dudu alivuka mstari ikabidi Diamond achague upande wa business partner wake.

Unamtukana business partner wake alafu unaonywa hutaki maanake unataka wagombane kwa sababu yako mpita njia.

Mfano mzuri ni Babalevo, akijiona ni muhimu sana basi ajue kuwa ikifika time Diamond achague kati ya Babalevo na Babu Tale basi Diamond atamchagua Babu Tale sababu wametoka mbali na bado safari yao ni ndefu.

Sio suala la kutumiana ni ishu ya kujua mipaka yako kwenye jambo lolote. Very simple
Watu uwa wanajisahau, ni ujinga kuingilia ugomvi usiokuhusu. Ilifika kipindi dudu akajiona msemaji wa wasafi mara oh rayvany hana mkataba na wasafi bali sijui ana mkataba na nani... Yani akawa anaropoka ropoka
 
Huyu jamaa nimemuona jana somewhere kafulia,anakunywa konyagi tu.
 
Diamond hakumtumia Dudubaya, ila Dudu alivuka mstari ikabidi Diamond achague upande wa business partner wake.

Unamtukana business partner wake alafu unaonywa hutaki maanake unataka wagombane kwa sababu yako mpita njia.

Mfano mzuri ni Babalevo, akijiona ni muhimu sana basi ajue kuwa ikifika time Diamond achague kati ya Babalevo na Babu Tale basi Diamond atamchagua Babu Tale sababu wametoka mbali na bado safari yao ni ndefu.

Sio suala la kutumiana ni ishu ya kujua mipaka yako kwenye jambo lolote. Very simple
Sio suala la kutumiana ni ishu ya kujua mipaka yako kwenye jambo lolote. Very simple[emoji1533][emoji1534]
 
Back
Top Bottom