Dudu yangu jamani, Doctors, please, help me...

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,212
tatizo limeanza kama wiki moja na siku tano zilizopita, nilikua nikikojoa naskia maumivu kwa mbali, nikajua hii ni UTI tu, nikaenda kupima nikaambiwa sina UTI.... kesho yake asubuhi nikiwa kitandani na wife uume wangu ukiwa umesimama nikaamua kama naukamua hivi nione nini kitatoka, bad enough nikaona small amount of pus, nikamwambia wife vaa twende hospital haraka

tumefika Doctor ukasema wote tupume sijuwi ndo VDRL na UTI, mie nikakutwa na UTI but wife hakukutwa na chochote, tukaona tuchange hospital for more consultant, tukapima tena vipimo vile vile, mie nikaonekana na UTI chakuchanganya zaidi wife nae akakutwa na UTI...

tukaona twende sehemu nyingine tena, nikakutwa na UTI na wife akakutwa na UTI pia ila magonjwa mengine hakuna.... nikaona itakua UTI nikaanza Dawa za UTI,mpaka zikaisha,

Mbaya zaidi leo nikaona nikaona nikamue tena Dudu yangu nikaona bado ule usaa (pus) unatoka kidogo sana, nikaona sina mda wakupoteza nikakimbia hospital, nikamuelezea Doctor mwingine tena kila kitu, hakunipima ila ameniandikia sinda moja na madawa ya siku saba akanambia nirudi baada ya siku tatu ili aone kama kuna changes zozote.....

jamani hii inaweza kuwa ni nini? naogopa sana....(Please maneno ya kashfa siitaji, haina cha kunisaidia kaa kimya)
 

Pole sana mjukuu..... ichukue mashine yako na uipake mafuta ya ubuyu ya kutosha (kama kalmati invyokuwaga) kisha iweke kwenye hii chombo kwa muda wa siku 90 mfululizo utaona tatizo kwishnei.
 
Mkuu acha kutembea na wanafunzi na mademu wa hovyo hawatunzi K zao ni chafu..una ugonjwa wa ngono, na uchomwe sindano sahihi za kutosha upone.
 
Mkuu acha kutembea na wanafunzi na mademu wa hovyo hawatunzi K zao ni chafu..una ugonjwa wa ngono, na uchomwe sindano sahihi za kutosha upone.

Na hizo za kutosha Shem nae achome. Acha kutafuna watoto wa chuo mkuu ushaambiwa mkuu.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
mkuu that's Gonorrhea, fanya culture ya hiyo discharge ili upate dawa sahihi, dawa hiyo atumie na mkeo na mchepuko pia ulikoitoa, kumbuka wanawake huchelewa sana kupata dariri.....
 
Hujasema majibu ya mwisho yanasemaje

VDRL ni kipimo cha damu kuchek kama kuna magonjwa ya ngono (syphilis)

Kwa wanaume dalili huonekana mapema zaid kuliko mwanamke... Hata kama ni UTI, ni vyema mpate matibabu kwa pamoja ili kutibu tatizo kwani bado mtaendelea kushiriki tendo
Hakikisha mnazingatia matibabu na si kukatisha

Zungumzen ili kutatua tatizo na si kumtafuta mchawi nani
Kila la kheri, ugua pole
 
Na hizo za kutosha Shem nae achome. Acha kutafuna watoto wa chuo mkuu ushaambiwa mkuu.


Sent from my iPad using JamiiForums

Hhahahahah atakia kapata kwa michepuko kwa maana hiyo??
 
Mbona hao madaktari uliowaona awali wote magumashi,ina maana hawajui clinical presentations za magonjwa ya ngono?Hawajui namna ya kutofautisha kisonono na kaswende!WANATUTIA AIBU kwelikweli...Kwa dalili ulizopresent ni wazi unasumbuliwa na KISONONO/GONORHOEA,ni vema ukatibiwa ww na wenza wako wote.TIBA-sindano ceftriaxone/powercef 250mg stat na vidonge vya Azithromycine 1gm AU meza Azithromycine 2gm kwa mara moja bila kurudia(kwa mujibu wa CDC-USA)
 
Ni GONORHOEA ndugu ndo ina present na usaha! Tatizo unakwenda hospitali za vichochoroni, hebu wahi hospitali zenye kueleweka!

Also called the "clap" or "drip," gonorrhea is a contagious disease transmitted most often through sexual contact with an infected person. Gonorrhea may also be spread by contact with infected bodily fluids, so that a mother could pass on the infection to her newborn during childbirth.

Gonorrhea symptoms in women

Greenish yellow or whitish discharge from the vagina
Lower abdominal or pelvic pain
Burning when urinating
Conjunctivitis (red, itchy eyes)
Bleeding between periods
Spotting after intercourse
Swelling of the vulva (vulvitis)
Burning in the throat (due to oral sex)
Swollen glands in the throat (due to oral sex)

In some women, symptoms are so mild that they escape unnoticed.Many women with gonorrhea discharge think they have a yeast infection and self-treat with over-the-counter yeast infection drug. Because vaginal discharge can be a sign of a number of different problems, it is best to always seek the advice of a doctor to ensure proper diagnosis and treatment.

Gonorrhea symptoms in men
Greenish yellow or whitish discharge from the penis
Burning when urinating
Burning in the throat (due to oral sex)
Painful or swollen testicles
Swollen glands in the throat (due to oral sex)

In men, symptoms usually appear two to 14 days after infection.
 
Hiyo ni Gono aisee......pata tiba sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…