Hahahahahahhahahahahha..........................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sikujua kama wewe ni mchokozi kiasi hicho...
Hivi bado sijakujibu??
Babu DC!!!
mzima sana dada haya mambo magumu bwana ngoja tuwaachoe wanaoweza.
Hapa nakuunga mkono dear..... Karibu hapa kuna kijoto napata Amarula....lol Care to join?
Hebu some vizuri kaka/dada...
It simply doesn't make sense in my old big head!!
Babu DC!!
Bwana hiyo ni ngumu sana,
Kama mtu anaweza kuua mwenzake kwa kitu alichookota barabarani, iweje kwa BF au GF ambaye wanasaula nguo na kubaki watupu mara kwa mara,..na kisha kubanjua amri ya sita?
Labda nianze kujifunza leo....Ila ukweli ni kwamba siwezi!!
Babu DC!!
Unahitaji majibu zaidi ya haya???
Hapa na
kuunga mkono dear..... Karibu hapa napata Amarula....lol Care to join?
Go go, ADii, mkabe kabisa Babu DC, kazidi kuruka ruka.
asante dear leo najipatia serengeti baridi ....nimejifunza huwenzi shindana na maisha ila jifunze kukubali kila linalokuja mbela ya macho yako na kusolve in a positive way!
asante dear leo najipatia serengeti baridi ....nimejifunza huwenzi shindana na maisha ila jifunze kukubali kila linalokuja mbela ya macho yako na kusolve in a positive way!
naogopa kusema sana, kuna mahali kasema ataita wajukuu zake waje wanishughulikie, hasa MJ1
Watu wanaeleza maelezo sahihi sana humu kweli utandawazi umeleta na kufundisha watu mengi.
Mzee DC acha kuruka ruka... Hizo post ambazo umeji qoute umezungumzia wewe kua na mpenzi alafu iwe no strings attached kama vile na mama DC... Hapo nakuunga mkono haiwezekani! na hayo majibu ulio color ndio hasa majibu yake. Sasa jibu YES or NO kama unaweza mkubalia mdada saizi aku approach aombe muwe na mahusiano ya no strings attached.
Ambitious hio painting yako uliibamba tu sehemu ama uliichukua sehemu rasmi na wamjua mchoraji?
@Kongosho sorry; niko kwenye zoezi sio off topic. lol
Go go, ADii, mkabe kabisa Babu DC, kazidi kuruka ruka.
tupe na wewe mauzoefu yako katika hii dhana.