Duh!! Huyu Dokii huyu.....


Hawa ni Wajasiriamali hasa. Sijui mchungaji wao wamempa nini. Wametoka kabisa kwenye mantiki ya utumishi kupitia uimbaji.
 
Ati anam-support JK hatua kwa hatua na kila anapokwenda, kivipi? JK asije kuwa anajipindua usiku!
 
Dokii ni mlokole, na yuko kutafuta kipato toka kwenye kampeni kama wanavyolipwa wasanii wengine ambao wako kwenye kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…