huyo ni mtz mwenzetu masikini wa elimu,fikra,huruma,chakula,pesa tusimtenge tumuonee huruma najua anatafuta ccm impe ulaji wa udiwani au ubunge viti maalum si mliwaona akina vick kamata walikuwa na malengo yao si huyo tu je mlokole aliyetuaibisha sisi watz Frola Mbasha na mumewe vipi hawa jamani hamkuwaona ndugu zanguni?