Duh! Kila nikihakiki bidhaa kutumia Hakiki ap ya TRA inaniambia verification failed

Duh! Kila nikihakiki bidhaa kutumia Hakiki ap ya TRA inaniambia verification failed

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki.

Unachotakiwa kufanya scan bar code au QR code iliyopo kwenye bidhaa.Ap inawasha camera ya simu, hakikisha QR code au bar code inakuwa kwenye target ya camera, bila
ya kutingishika, kama huwezi
ingiza digit 12 manually.
Bidhaa ikiwa original itakupa details,ikiwa fek utaona neno
"Verification failed" hivyo toa
ripoti TRA.Kila nikiverify bidhaa zinaonekana feki.

Wafanyabiashara wamezidi kutuuzia bidhaa feki.Adhabu ya kuuza bidhaa fek ni faini ya
sh.milioni 5 au kifungo miaka
mitatu.


Kwa sasa AP hiyo inafanya kazi katika bidhaa za maji na pombe.

Wananchi tujali afya zetu kwa kuhakiki bidhaa kulinda afya zetu, vilevile tuoneshe ushirikiano kwa kutoa taarifa TRA tukigundua bidhaa feki.
 
Ndiyo uelewe mantiki ya ile kauli kwamba nchi yetu ingali katika level ya chini kabisa ya kiwango cha umaskini! And this is supposed to the 21st century of globalization! 🙂
 
Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki.

Wafanyabiashara wamezidi kutuuzia bidhaa feki.Adhabu ya kuuza bidhaa feki ni faini milion
tano au jela miaka mitatu au vyote.

Ap ya Hakiki Stamp inafanya kazi kama kamera kwa kupiga picha kwenye bar code au kuingiza digit 12 manually kujua uhalali wa bidhaa.

Kwa sasa AP hiyo inafanya kazi katika bidhaa za maji na pombe.

Wananchi tujali afya zetu kwa kuhakiki bidhaa kulinda afya zetu, vilevile tuoneshe ushirikiano kwa kutoa taarifa TRA tukigundua bidhaa feki.
du hii hatari sana yaani watu hawajali afya zetu kabisa madude feki wanatulisha. Mimi mwanzo nilidhani utani nikasema nijaribu nione wee kitu kikasoma feki nikaona kama spidi mita ya kwenye gari nyekundu na taarifa kuwa feki nikastuka hee kumbe twanywa feki. Hivi kwanini serikali isiweke bidhaa zote za kula hii kitu?
 
Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki.

Wafanyabiashara wamezidi kutuuzia bidhaa feki.Adhabu ya kuuza bidhaa feki ni faini milion
tano au jela miaka mitatu au vyote.

Ap ya Hakiki Stamp inafanya kazi kama kamera kwa kupiga picha kwenye bar code au kuingiza digit 12 manually kujua uhalali wa bidhaa.

Kwa sasa AP hiyo inafanya kazi katika bidhaa za maji na pombe.

Wananchi tujali afya zetu kwa kuhakiki bidhaa kulinda afya zetu, vilevile tuoneshe ushirikiano kwa kutoa taarifa TRA tukigundua bidhaa feki.
Nilivyofanya Mara ya kwanza ikaleta mauzauza hata sikujaribu Tena [emoji1] nikaifuta [emoji87] Hii nchi tuna Mungu tu Ila tunatumia Bidhaa za ajabu ajabu
 
TRA waandae magereza ya kuwafunga wafanyabiashara wanaouza bidhaa feki, maana wakiamua kufuatilia watawafunga wengi, maana 75%ya bidhaa ni feki.
 
Kama bidhaa feki basi wajiandae kushika wazee wa macho madogo kutoka kwa jet li
 
Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki.

Wafanyabiashara wamezidi kutuuzia bidhaa feki.Adhabu ya kuuza bidhaa feki ni faini milion
tano au jela miaka mitatu au vyote.

Ap ya Hakiki Stamp inafanya kazi kama kamera kwa kupiga picha kwenye bar code au kuingiza digit 12 manually kujua uhalali wa bidhaa.

Kwa sasa AP hiyo inafanya kazi katika bidhaa za maji na pombe.

Wananchi tujali afya zetu kwa kuhakiki bidhaa kulinda afya zetu, vilevile tuoneshe ushirikiano kwa kutoa taarifa TRA tukigundua bidhaa feki.
Wewe unalipwa baada ya kuhakiki? Sio kwamba ni feki, hicho kistamp ndio feki.
 
Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki.

Wafanyabiashara wamezidi kutuuzia bidhaa feki.Adhabu ya kuuza bidhaa feki ni faini milion
tano au jela miaka mitatu au vyote.

Ap ya Hakiki Stamp inafanya kazi kama kamera kwa kupiga picha kwenye bar code au kuingiza digit 12 manually kujua uhalali wa bidhaa.

Kwa sasa AP hiyo inafanya kazi katika bidhaa za maji na pombe.

Wananchi tujali afya zetu kwa kuhakiki bidhaa kulinda afya zetu, vilevile tuoneshe ushirikiano kwa kutoa taarifa TRA tukigundua bidhaa feki.
Hii isiishie kwenye bidhaa tu hata watu wanaotaka kuanzisha mahusiano ya kimapenzi wawekewe hii kitu ili kupunguza matukio ya watu kujinyonga kwa kuingia kwenye mahusiano na wapenzi feki
 
Ukijaribu kwenye konyagi na kvant lazima ukute ni gongo iliyo kwenye chupa!
Wamiliki wa hizi bidhaa za pombe Kali wajiongeze kwenye kudhibiti uchakachuaji watatuua sisi walevi na wanywaji
 
Ni ngumu sana kutambua bidhaa fake kwa kuscan bar codes au QR code...maana ni rahisi sana kutengeneza bidhaa fake, na nikanakili na kuprint bar code ya bidhaa original na kuipachika pale. Kwaiyo yenye fault hapo ni iyo app
 
Back
Top Bottom