Mkuu wa World Health Organisation ni Mhabeshi. Sijui atasema nini leo kuhusu Corona kukoroma nyumbani kwake Ethiopia. Huwa namtazama Youtube muda wa saa kumi na mbili unusu jioni.Jameni huku bado tunawaza jinsi gani tutaishi huu mji wa Nairobi, naona Ethiopia na wamethibitisha kwamba kimetua kwao.....
Ethiopia has confirmed its first case of the new coronavirus, the country’s public health institute told Reuters on Friday.
Takele Uma Banti, the mayor of the capital Addis Ababa, tweeted that a Japanese citizen was the person affected.
“We should avoid meetings and hand contacts,” the mayor wrote on Twitter.
Ethiopia confirms its first case of coronavirus - Citizentv.co.ke
Hao wa Ethiopia wamejitakia wenyewe, angalau Kenya ni bahati mbaya, ila Ethiopia wamejiachia sana.Mkuu wa World Health Organisation ni Mhabeshi. Sijui atasema nini leo kuhusu Corona kukoroma nyumbani kwake Ethiopia. Huwa namtazama Youtube muda wa saa kumi na mbili unusu jioni.
Kwanza Ethiopia airline iliweka pesa mbele ikaamua kuendelea na Safari ya ChinaHao wa Ethiopia wamejitakia wenyewe, angalau Kenya ni bahati mbaya, ila Ethiopia wamejiachia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini dude hili limeleta maambukizi mengi huku Afrika kutokea Ulaya. Sio ajabu huyo ndugu yetu Mkenya kalitoa dude huko ulaya alikopitia toka Amerika.Kwanza Ethiopia airline iliweka pesa mbele ikaamua kuendelea na Safari ya China
Sasa hao wahabeshi wengi hukimbia nchi yao kwa njia za panya kupitia Kenya, Tanzania, Zambia/Malawi hadi Afrika Kusini, watautapakaza sana huu ugonjwa katika hizi nchi wanazopitia.Kwanza Ethiopia airline iliweka pesa mbele ikaamua kuendelea na Safari ya China
Na sisi tunawaambia wawalete wageni huku sioKwanza Ethiopia airline iliweka pesa mbele ikaamua kuendelea na Safari ya China
Usijali ni mafua tu tutapenga yataishaAisee hofu kwangu inazidi kuongezeka
Acha ujinga 😢😢Usijali ni mafua tu tutapenga yataisha
Hatuko salama mkuu,ni kumuomba Mungu atuepushe na hilo balaa...Sasa hao wahabeshi wengi hukimbia nchi yao kwa njia za panya kupitia Kenya, Tanzania, Zambia/Malawi hadi Afrika Kusini, watautapakaza sana huu ugonjwa katika hizi nchi wanazopitia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gonjwa lenyewe ni hatari kwa watu wazeeUsijali ni mafua tu tutapenga yataisha
Mkuu MK254 ilikuwa suala la muda tu kabla ya njaa zetu za kuthamini pesa tunaruhusu ndege au watu toka nchi zilizo athiriwa kuingia nchini mwetu kabla hazijatuumbua na hili gonjwa.
Mungu wetu waafrika azidi kutulinda, nina ndugu wa damu majuzi tu kaenda kikazi hizo nchi za ulaya kwenye hili dude.
Nilimtia moyo nenda tu ndugu ajali kazini hata ukiwa hapa bongo unaweza kuugua uka-dead vilevile.
Natumaini atarudi salama kuja kulea familia yake.
COVID-19 PANDEMIC
#Africa #CoronaOutbreak Latest UPDATE
🇪🇬Egypt-67
🇩🇿Algeria-25
🇿🇦South Africa-24
🇸🇳Senegal-10
🇹🇳Tunisia-7
🇲🇦Morocco-6
🇳🇬Nigeria-2
🇨🇲Cameroon-2
🇧🇫Burkina Faso-2
🇨🇩DRC-2
🇬🇭Ghana-2
🇹🇬Togo-1
🇨🇮Ivory Coast-1
🇬🇦Gabon-1
🇰🇪Kenya-1
🇪🇹Ethiopia-1
🇬🇳Guinea 1
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna njemba linakohoa hapa balaa, sijui lipigwe shaba au vipi, maana hiki kidude sio cha kuchekwa nacho.