Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Yaani mpaka mwaka jana Zanzibar ilikuwa na Sultani ambaye alikuwa Uingereza na kustaafu mwaka jana akiwa Omani. Je, akuna mwingine aliyechaguliwa?

'The last Sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.'

==========

Samia Suluhu Hassan became president of Tanzania on Wednesday after the death of John Magufuli and news of her inauguration was welcomed by some Omanis.

She is not only the first female president of Tanzania, but the first leader of the country born in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar.

We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar
She also has links to Oman through her paternal grandfather, who was born in the eastern town of Al Mudhaibi.

Her relatives in Oman are proud of her.
"We never expected her to become president of Tanzania and that is the reason she is now the centre of euphoria in Mudhaibi, a town where her grandfather was born," a cousin and resident of the town, Mohammed Al Naamani, told The National.

“The last time she visited Oman was in 2016 and she came right here in Mudhaibi to see us. After that, due to her busy political life, she could not make it again.”

Ms Hassan, 61, served as Magufuli’s vice president and last year the pair were re-elected for another five years.

Under the constitution, she will complete the rest of the term in the top job.

Khadija Al Ghaithi, a retired civil servant in Muscat, went to school with Ms Hassan in Zanzibar and said they exchanged messages last week.

"I was expecting her not to answer her WhatsApp messages because of her new powerful position. But she answered my messages of congratulations very warmly. That shows how humble she still is and that power did not get into her head," she said.

U6VPROBIL4GULEHNEJY63UX7CQ.jpg
Ms Al Ghaithi said she went to school with Ms Hassan when they were 12 years old and kept in touch over the years.

“She was a high achiever in class and very good at communication. She was also always ready to help her friends with anything," Ms Al Ghaithi said.

"I am personally proud of her as a friend but not at all surprised that she made it to the top in her political career."

It was not only those who personally knew her who had warm words.

Residents of Al Mudhaibi rejoiced at her new status, despite having never met her.
"I know her family in Al Mudhaibi but never met her personally when she came here to visit them. But the whole town is talking about her," Ahmed Al Sinawi, 58, told The National.

“We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar, tying the two countries together in our common heritage. I really hope she will be back in town to visit us again."

Camel breeders in Al-Mudhaibi. Saleh Al-Shaibany for The National

Camel breeders in Al Mudhaibi. Saleh Al Shaibany for The National

Some people from Zanzibar consider Oman to be their ancestral home. It was ruled by Oman between 1698 and 1890 and during that time, a large number of Zanzibaris emigrated.

In 1890, Zanzibar became a British protectorate and was ruled by local sultans, who all had Omani ancestry.
The last sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.

Source: www.thenationalnews.com
 
Siyo kwamba Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman. Ukweli ni kuwa:

Oman iliifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Oman, sawa na Ureno ilivyoifanya Mozambique kuwa jimbo la Ureno.

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman, na Zanzibar ndiyo yalikuwa makao makuu ya Sultan wa Oman, akitawala Oman yote, pamoja na Zanzibar.
 
Hicho kisiwa ndio maana Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema kama angekuwa na uwezo angekikokota kiende mbali zaidi.

Zanzibar inagombaniwa kila upande, huku Tanzania Bara tuliwafunga mikono kwa kuwaingiza kwenye muungano, huku hao wa Oman nao wakionekana bado wanaitamani Zanzibar.

Lakini hata nikitazama kwa jicho la ndani zaidi, naona huko Zanzibar kwenyewe kuna mvurugano, Wapemba kwa asili ndio wanafanana na raia wa Oman, wakati kule Unguja ni ngozi nyeusi tu kama Tanzania Bara.

Matokeo yake hili linakwenda deep mpaka kwenye itikadi zao kisiasa, wakati upinzani ukiishikilia Pemba yenye raia wengi wenye asili ya Oman, CCM wao wako Unguja, ndio maana husema hawawezi kuitoa nchi yao kwa waarabu [kushinda uchaguzi mkuu] na ndio maana malalamiko huwa hayaishi ya kuibiwa kura kwa upande wa upinzani.
 
😂😂 kwa hiyo bado wA Znz wenyewe wanataka wawe chin ya Oman. Dumia ima mambo hii.
Ni bora mara mia kuliko kuwa chini ya tanganyika, hem nenda kaisikilize hotuba ya makamo wa pili wa raisi wa zanzibar
 
..Sultani Jamshid baada ya kupinduliwa kwanini hakukimbilia Oman?

..Kwanini imewachukua muda mrefu Oman kumruhusu Sultani Jamshid kuweka makazi yake huko?

NB:

..Oman ni mali ya Zanzibar kwasababu ndio ilikuwa makao makuu ya Sultani mpaka alipofariki.

..Baada ya Sultani kufariki himaya yake ikagawanywa kwa hila na Oman ikaporwa.

cc Kibunango, Nguruvi3
 
Yaani mpaka mwaka jana Zanzibar ilikuwa na Sultani ambaye alikuwa Uingereza na kustaafu mwaka jana akiwa Omani. Je, akuna mwingine aliyechaguliwa?

'The last Sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.'

==========

Samia Suluhu Hassan became president of Tanzania on Wednesday after the death of John Magufuli and news of her inauguration was welcomed by some Omanis.

She is not only the first female president of Tanzania, but the first leader of the country born in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar.

We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar
She also has links to Oman through her paternal grandfather, who was born in the eastern town of Al Mudhaibi.

Her relatives in Oman are proud of her.
"We never expected her to become president of Tanzania and that is the reason she is now the centre of euphoria in Mudhaibi, a town where her grandfather was born," a cousin and resident of the town, Mohammed Al Naamani, told The National.

“The last time she visited Oman was in 2016 and she came right here in Mudhaibi to see us. After that, due to her busy political life, she could not make it again.”

Ms Hassan, 61, served as Magufuli’s vice president and last year the pair were re-elected for another five years.

Under the constitution, she will complete the rest of the term in the top job.

Khadija Al Ghaithi, a retired civil servant in Muscat, went to school with Ms Hassan in Zanzibar and said they exchanged messages last week.

"I was expecting her not to answer her WhatsApp messages because of her new powerful position. But she answered my messages of congratulations very warmly. That shows how humble she still is and that power did not get into her head," she said.

U6VPROBIL4GULEHNEJY63UX7CQ.jpg
Ms Al Ghaithi said she went to school with Ms Hassan when they were 12 years old and kept in touch over the years.

“She was a high achiever in class and very good at communication. She was also always ready to help her friends with anything," Ms Al Ghaithi said.

"I am personally proud of her as a friend but not at all surprised that she made it to the top in her political career."

It was not only those who personally knew her who had warm words.

Residents of Al Mudhaibi rejoiced at her new status, despite having never met her.
"I know her family in Al Mudhaibi but never met her personally when she came here to visit them. But the whole town is talking about her," Ahmed Al Sinawi, 58, told The National.

“We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar, tying the two countries together in our common heritage. I really hope she will be back in town to visit us again."

Camel breeders in Al-Mudhaibi. Saleh Al-Shaibany for The National

Camel breeders in Al Mudhaibi. Saleh Al Shaibany for The National

Some people from Zanzibar consider Oman to be their ancestral home. It was ruled by Oman between 1698 and 1890 and during that time, a large number of Zanzibaris emigrated.

In 1890, Zanzibar became a British protectorate and was ruled by local sultans, who all had Omani ancestry.
The last sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.

Source: www.thenationalnews.com
Ndio unajua Leo? Alikimbia baada ya mapinduzi na amekufa mwaka Jana nadhani
 
Yaani mpaka mwaka jana Zanzibar ilikuwa na Sultani ambaye alikuwa Uingereza na kustaafu mwaka jana akiwa Omani. Je, akuna mwingine aliyechaguliwa?

'The last Sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.'

==========

Samia Suluhu Hassan became president of Tanzania on Wednesday after the death of John Magufuli and news of her inauguration was welcomed by some Omanis.

She is not only the first female president of Tanzania, but the first leader of the country born in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar.

We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar
She also has links to Oman through her paternal grandfather, who was born in the eastern town of Al Mudhaibi.

Her relatives in Oman are proud of her.
"We never expected her to become president of Tanzania and that is the reason she is now the centre of euphoria in Mudhaibi, a town where her grandfather was born," a cousin and resident of the town, Mohammed Al Naamani, told The National.

“The last time she visited Oman was in 2016 and she came right here in Mudhaibi to see us. After that, due to her busy political life, she could not make it again.”

Ms Hassan, 61, served as Magufuli’s vice president and last year the pair were re-elected for another five years.

Under the constitution, she will complete the rest of the term in the top job.

Khadija Al Ghaithi, a retired civil servant in Muscat, went to school with Ms Hassan in Zanzibar and said they exchanged messages last week.

"I was expecting her not to answer her WhatsApp messages because of her new powerful position. But she answered my messages of congratulations very warmly. That shows how humble she still is and that power did not get into her head," she said.

U6VPROBIL4GULEHNEJY63UX7CQ.jpg
Ms Al Ghaithi said she went to school with Ms Hassan when they were 12 years old and kept in touch over the years.

“She was a high achiever in class and very good at communication. She was also always ready to help her friends with anything," Ms Al Ghaithi said.

"I am personally proud of her as a friend but not at all surprised that she made it to the top in her political career."

It was not only those who personally knew her who had warm words.

Residents of Al Mudhaibi rejoiced at her new status, despite having never met her.
"I know her family in Al Mudhaibi but never met her personally when she came here to visit them. But the whole town is talking about her," Ahmed Al Sinawi, 58, told The National.

“We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar, tying the two countries together in our common heritage. I really hope she will be back in town to visit us again."

Camel breeders in Al-Mudhaibi. Saleh Al-Shaibany for The National

Camel breeders in Al Mudhaibi. Saleh Al Shaibany for The National

Some people from Zanzibar consider Oman to be their ancestral home. It was ruled by Oman between 1698 and 1890 and during that time, a large number of Zanzibaris emigrated.

In 1890, Zanzibar became a British protectorate and was ruled by local sultans, who all had Omani ancestry.
The last sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.

Source: www.thenationalnews.com
Nyie watoto manunda kweli kweli.
Historia hamsomi?
Kwani mapinduzi ya 1964 mnafikiri yalikuwa nani kumpindua nani?
 
Siyo kwamba Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman. Ukweli ni kuwa:

Oman iliifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Oman, sawa na Ureno ilivyoifanya Mozambique kuwa jimbo la Ureno.

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman, na Zanzibar ndiyo yalikuwa makao makuu ya Sultan wa Oman, akitawala Oman yote, pamoja na Zanzibar.
Naunga mkono hoja, ila kuna vitu havisemwi kuhusu hii Zanzibar Oman connection.
Sultan aliyehamishia makao makuu ya Sultanate of Oman kutoka Oman na kuhamishia Zanzibar ni Sultan Seyyid Said mwaka 1832.

Baada ya kuhamia Zanzibar, hakuendelea kuitawala Oman bali ndugu zake wa ukoo wa Busaid ndio waliendelea kuitawala Oman, kila prince aligaiwa pande lake, hata Sultan wa Brunei ni ukoo huu huu, hivyo baada ya Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, alitaka kwenda Oman, wakamgomea maana kule hana chake. Uingereza ndio sio tuu ilimpa hadhi ya ukimbizi bali ilimtunza as a political asylum kwa zile zile stripends za refugees. Amekubaliwa Oman so that he can die in peace.

Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali walikimbia wenyewe, tumshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili wakiitwa kutoka kwenye dunia hii, waondoke kwa Amani.

Amnesty hiyo sio kuitekeleza usulutani Zanzibar, bali ni extension of reconciliatory efforts kama maandalizi ya kuja kuundwa tume ya truth and reconciliation ili kutibu the deep wound and scars za yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na ili kutibu wahanga wa Mapinduzi yale, inaweza pia ikaamuliwa neno matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, likaondolewa maana...

Mnaionaje hoja hii?.
P
 
Hicho kisiwa ndio maana Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema kama angekuwa na uwezo angekikokota kiende mbali zaidi.

Zanzibar inagombaniwa kila upande, huku Tanzania Bara tuliwafunga mikono kwa kuwaingiza kwenye muungano, huku hao wa Oman nao wakionekana bado wanaitamani Zanzibar.

Lakini hata nikitazama kwa jicho la ndani zaidi, naona huko Zanzibar kwenyewe kuna mvurugano, Wapemba kwa asili ndio wanafanana na raia wa Oman, wakati kule Unguja ni ngozi nyeusi tu kama Tanzania Bara.

Matokeo yake hili linakwenda deep mpaka kwenye itikadi zao kisiasa, wakati upinzani ukiishikilia Pemba yenye raia wengi wenye asili ya Oman, CCM wao wako Unguja, ndio maana husema hawawezi kuitoa nchi yao kwa waarabu [kushinda uchaguzi mkuu] ndio maana malalamiko huwa hayaishi ya kuibiwa kura kwa upande wa upinzani.
Jifunze vzuri historia ya Znz
 
Back
Top Bottom