Duh mpaka nauli ya ndege imepanda

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Yaani nauli ya DAR TO KIA ya precision air imepanda mpaka kufikia 457,000 TShs hii balaa
 
Ngojea ATCL wakianza kwenda KIA watawapa tafu precision na nauli itabidi ishuke; tatizo ninaloliona ni hao masalia ya Pesambili Mramba hapo hazina ndio wanaiangusha ATCL kwa kutokuwapa mafungu yao kwa wakati.
 
na kwenda mwanza sijui itakuwa kiasi gani? Sijui ni kweli mfanyakazi mwenzangu kaomba nauli ya kutoka mwanza kwenda arusha tshs 70,000 eti ni kweli au anataka kutupiga bao?
 
Kwa sababu ya Krismas? Hapo regulatory board si SUMATRA tena, ni TCAA
 
siku hizi imekuwa ni kama Precision wanazidiwa na wateja, sasa ili kupunguza wateja inabidi wapandishe bei ili wa discourage wengine on the move..!
 
Wachaga si mnaenda KUTAMBIKA kwenu

Demand ni kubwa kuliko Supply Izi iko tu Bei kuwa Juu.

Huop ndio Ukweli na wala haiitaji PHD kujua hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…