Duh! Nawatakia weekend njema

kwa nyuma naona kuna watu, hapa sio chumbani

kaka wa watu hana la kusema yuko kimya anazimua na maji ili kazi iwe rahisi baada ya hapo
 
Kuna ka harufu ka Zeutamu hapa
 
Kwa kweli ikamua kumchoka tujulishe na sisi wadau wengine, wasiswasi wangu ni ufundi atakaokuwa nao, maana waswahili wanasema " kutwanga sio kazi ujue utachungaje'
'
'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…