Duh! Nmb noma

Duh! Nmb noma

jcb

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2010
Posts
280
Reaction score
66
Hivi punde nimetokea mitaa ya kati kuutafuta mchana mwema, hapa NMB morogoro Rd. branch kuna foleni kubwa ndani kiasi kwamba Binti mmoja ameshindwa kuhimili amedondoka na kuzirai hivi nimepishana na wasamaria wema wamembeba wana muwahisha APOLO Hosp. iko jirani kabisa na benki hii.
Kweli kuna umuhimu wa benki hii kuboresha huduma zake!!!!!
 
Back
Top Bottom