Alafu kwa uongo hamna zaidi yenu. S.Africa ilipata uhuru Mei 31, 1961. Tz ikapata uhuru miezi saba baadaye, Desemba 9, 1961. Inamaana kwamba mliwasaidia S.A kupata uhuru wakati bado mlikuwa chini ya minyororo ya ukoloni wa mabeberu?Kwani wakati mnawasaidia kupigania Uhuru mliwaambia kuwa tutakuwa tuanavunja hata Sheria za nchi yenu kadiri tunavyotaka so mtulie Tu! Ni Sawa mtu kakutafutia kazi alafu kila mwezi anakuja umpe sehem ya mshahara kama shukrani ya lazima Kwa kukutafutia kazi,Sisi wabongo akili finyu tulio wengi,ajabu na watu wakaandamana kabisa kudai ndege iachiwe kisa tuliwasaidia kugombea uhuru
πππππ wameukimbia uzi Sasa Manyang'au ngojeni nyuzi Kama kumi hivi kuanzishwa ama kutufuliwa ilimradi huu usahaulike ila ATCL Mimi mwasiti sitasahau. joto la jiwe eliakeem na Wadanganyika wengine sitakoma kuwakumbusha...bure kabisa nyinyi.
Alafu kwa uongo hamna zaidi yenu. S.Africa ilipata uhuru Mei 31, 1961. Tz ikapata uhuru miezi saba baadaye, Desemba 9, 1961. Inamaana kwamba mliwasaidia S.A kupata uhuru wakati bado mlikuwa chini ya minyororo ya ukoloni wa mabeberu?
Dah! Mawakili wanaomba waonewe huruma ndege iachiliwe. Kwasababu eti humo ndani kuna document za siri, za rais, ambazo zinaweza zikavuja. [emoji38][emoji38][emoji38] Wabongo buana!Mawakili wa Serikali wadai ndege inayoshikiliwa Afrika Kusini ni ndege inayotumiwa na Rais Magufuli
Tanzania imeitaka Mahakama Kuu ya Gauteng ya Nchini Afrika Kusini kufanya jitihada za haraka katika kujibu mapingamizi yao ya kutaka kuachiwa kwa ndege ya ATCL inayoshikiliwa Afrika Kusini Wakili Victor Nkhwashu, Mwanasheria wa Serikali aliyechaguliwa kusimamia suala hilo amesema wamewasilisha...www.jamiiforums.com
I thought the lawyers were going to present a swift transfer of the owed cash, kumbe ni merry go round, waite cliff ombeta awasaidie
Vitu kama hivi huwezi post, uko busy na udaku.
poleni majiraniHajui hilo ni deni kubwa kushinda hako kandege kalokamatwa
pole bro. usilie sana. haya yote ni mapito tuTatizo mnapenda kufatilia mambo yasiyo wahusu mkalime mfeed watu wenu
Tatizo mnapenda kufatilia mambo yasiyo wahusu mkalime mfeed watu wenu
Kumbe ndio maana wakili aliziita hoja nzito? Eti amesema ziliwatetemesha wakili wa upande wa pili. Yaani walitetemeka kama magoti ya teja akijaribu kuinua gunia la viazi. [emoji38] Ngai fafa! Thiiitimaaa! [emoji23]hizo hoja zinapimwa kwa kilo....... View attachment 1196161
Anything that belongs to Presidency has international immunity! A fool like u can not see the meaning of that argument!Umeona hizi hoja tatu nzito[emoji23][emoji23]View attachment 1196162
Kazi kwisha, kifaa chetu kimeachiwa tayari...
Lipeni deniAnything that belongs to Presidency has international immunity! A fool like u can not see the meaning of that argument!