MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Aug 27, 2019 #1 Watu wamesha kata tamaa ya maisha, yaani mtu anaamua liwalo na liwe, vyuma vimekaza, fursa ikipatikana anaichangamkia tu, kama wa kufa afe au apone.
Watu wamesha kata tamaa ya maisha, yaani mtu anaamua liwalo na liwe, vyuma vimekaza, fursa ikipatikana anaichangamkia tu, kama wa kufa afe au apone.
interlacustrineregion JF-Expert Member Joined Oct 28, 2018 Posts 7,134 Reaction score 7,395 Aug 27, 2019 #2 Na bado hata kama Raisi awe malaika haitafuta ukweli wa neno la Mungu kuwa "asiyefanya kazi na asile". KUMBUKA: Mbingu na nchi zitapita lakini kamwe neno lake Mungu lililonenwa halitapita bila ya kutimia, fanya kazi kwa bidii mambo mazuri yako mbele kwa mbele.
Na bado hata kama Raisi awe malaika haitafuta ukweli wa neno la Mungu kuwa "asiyefanya kazi na asile". KUMBUKA: Mbingu na nchi zitapita lakini kamwe neno lake Mungu lililonenwa halitapita bila ya kutimia, fanya kazi kwa bidii mambo mazuri yako mbele kwa mbele.